Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitundikwa kwenye mti na haukiitwa msalaba msalaba ulikuwa wa Yesu tu.Zilikuwa ni aina ya hukumu enzi zile za utawala wa waroma. Na Yesu si wa kwanza kutundikwa bali wahalifu wote waliohukumiwa kifo kwa njia ya msalaba juu ya kilima Ili Jamii yote ione tukio hilo Ili iogope kufanya uhalifu.
Dompo haina msalaba! Mbona wameandika pale, mambo ya madhabahu-madhabahu, kitu kama artare kama sikosei!!sio dompo bali ni ALTA WINE rejea upya pengine umetuma ukiwa umeshawaka tayari
Acha kufananisha damu ya YESU KRISTO na vitu vya kijingaUnakunywa damu ya yesu
Nadhani ni tasfiri tuWalitundikwa kwenye mti na haukiitwa msalaba msalaba ulikuwa wa Yesu tu.
Hivi ni dompo au alta wine mkuu? 😆😆😆
Mbona hata kwenye biblia husemwa kulia na kushoto kwa Yesu kulikuwa na wahalifu nao wako juu ya Misalaba?Walitundikwa kwenye mti na haukiitwa msalaba msalaba ulikuwa wa Yesu tu.
Msalaba ni utamaduni wa hukumu wa Warumi ambao nao waliuiga kutoka jamii jirani. Yesu ni mmojawapo ya wahanga wa hukumu ya msalabani hata siku ile wenzie kina Dismas walitundikwaMsalaba ulikuwa mmoja tu aliosuribiwa Bwana Yesu tu, mingine ni miti vyuma na alama za kujumlisha.
Unasemaaa🦻👂Huu uzi ni kwa wasiokuwa wa kristo waliokosa hekima