Hahaha umeona eeh?Inawezekana hata hawajui habari zako za engagement wako na maisha yao tuu
Ndio hapo sasaIf you aint give a shit bout em, why startin up a thread?
kila uzi upo! unalima saa ngapi?Ndio hapo sasa
Na wewe unajenga viwanda saa ngapi maana kama umeona kila uzi nipo maana yake na wewe upokila uzi upo! unalima saa ngapi?
Uza hiyo ataleast sogea kwene crownPremio