Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Na ndio maana inampotezea muda kuwaza juu yaounawafatilia kuliko wanavyokufatilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana inampotezea muda kuwaza juu yaounawafatilia kuliko wanavyokufatilia
Ukaribu wao job hauwezi sababisha waumie kisa jamaa kuoa labda km kila mmoja alikuwa na interest juu ya jamaa
Dah! Bora ata mume wa ndoa akununie ila sio mchepuko eti 🤣 🤣 🤣
JF kila mtu ana GARI...Jamani jamani, baada ya kufanya engagement kuna hawa mabinti wawili hapa job wamenichunia, kila mmoja kwa wakati wake!! Sikuwahi kumtongoza hata mmoja kati yao! Zaidi ya kusalimiana tu na kushirikiana mambo ya kazi!!! Sasa sielewi sababu ya wao kuumia maskini... Mmoja nimeshawahi kumpa lift mara moja akienda kukutana na men wake! Tena nikampeleka hadi hoteli walimokutania!!
Sasa siwaelewi kwa nn wanichunie!!!
Jamani jamani, baada ya kufanya engagement kuna hawa mabinti wawili hapa job wamenichunia, kila mmoja kwa wakati wake!! Sikuwahi kumtongoza hata mmoja kati yao! Zaidi ya kusalimiana tu na kushirikiana mambo ya kazi!!! Sasa sielewi sababu ya wao kuumia maskini... Mmoja nimeshawahi kumpa lift mara moja akienda kukutana na men wake! Tena nikampeleka hadi hoteli walimokutania!!
Sasa siwaelewi kwa nn wanichunie!!!
JiulizeJamani jamani, baada ya kufanya engagement kuna hawa mabinti wawili hapa job wamenichunia, kila mmoja kwa wakati wake!! Sikuwahi kumtongoza hata mmoja kati yao! Zaidi ya kusalimiana tu na kushirikiana mambo ya kazi!!! Sasa sielewi sababu ya wao kuumia maskini... Mmoja nimeshawahi kumpa lift mara moja akienda kukutana na men wake! Tena nikampeleka hadi hoteli walimokutania!!
Sasa siwaelewi kwa nn wanichunie!!!