Eti wanaume sio wenzetu??na je wanawake si wenzenu!

Eti wanaume sio wenzetu??na je wanawake si wenzenu!

naomba kuwasilisha hoja ,umeshawahi kukutana na ushauri kama huu,

Mwanaume si mwenzio kama unauwezo wa kujenga jenga kwa siri hata kwenu au popote ,weka kitega uchumi chochote u neva no kesho inakuwaje ? nini mtizamo wako ?




Mtazamo wangu ni kua nakubaliana na hio kauli LAKINI sina maana kwamba ni right. wanandoa wametofautiana wanavyo ishi, mi nimeolewa but na mwanaume ambae (God Bless him) ananishirikisha katika mambo na maamuzi yake yote - I feel loved and appreciated by this wonderful man of mine hivyo siwezi kamwe kufanya kitu kama hicho kwake. BUT angekua kimbembe, anijali, anishirikishi, tuna mali kama nyumba, magari, vitega uchumi ambavyo vyote navifaham kwa macho wala hataki kunionesha hati wala kunishirikisha kwa kuandika majina yetu woote THEN definately nitajenga nitakua na vitega uchumi wala hata asivijue!
 
Mbu...ucnipe raha mie, jiwe halichagui uso hahaha, nani anataka kuhadhirika mjini cku hizi?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mtazamo wangu ni kua nakubaliana na hio kauli LAKINI sina maana kwamba ni right. wanandoa wametofautiana wanavyo ishi, mi nimeolewa but na mwanaume ambae (God Bless him) ananishirikisha katika mambo na maamuzi yake yote - I feel loved and appreciated by this wonderful man of mine hivyo siwezi kamwe kufanya kitu kama hicho kwake. BUT angekua kimbembe, anijali, anishirikishi, tuna mali kama nyumba, magari, vitega uchumi ambavyo vyote navifaham kwa macho wala hataki kunionesha hati wala kunishirikisha kwa kuandika majina yetu woote THEN definately nitajenga nitakua na vitega uchumi wala hata asivijue!

sasa hapa ishu yako wewe ni kushirikishwa tu au una mchango ndani yake?(kifedha) coz kama ni kushirikishwa tunashirikishwa c kujulishwa tu kwamba mama nafanya hiki na kile atakapokwama ndio una m support? au cjakupata vzr...mie nashirikishwa, najenga/anajenga mahali anapoona panamfaa kibznec/kuishi, ushauri wangu ukiwa kipaumbele.
 
Vitu kama hivyo hupanii, with patience kila kitu happens with the flow,,

Mbona hiyo patience ina limits au wewe ni malaika kwamba hata jamaa likufanyie vituko gani wewe utaendelea kusubiri tu?
 
sasa hapa ishu yako wewe ni kushirikishwa tu au una mchango ndani yake?(kifedha) coz kama ni kushirikishwa tunashirikishwa c kujulishwa tu kwamba mama nafanya hiki na kile atakapokwama ndio una m support? au cjakupata vzr...mie nashirikishwa, najenga/anajenga mahali anapoona panamfaa kibznec/kuishi, ushauri wangu ukiwa kipaumbele.



Sio wote ambao wanafanya kazi. Wengi wa wanawake ni full time house wife, taking care of the kids, kutengeneza nyumba kua home, kuuguza wakwe yaaani hamna kitu anafanya kwa ajili yake (mwanamke); time yake yoote ni kwa ajili ya familia yake - naomba niambia hata asiposhirikishwa huyo atakua na lake incase of emergencies kama maybe the husband anafariki?
 
Sio wote ambao wanafanya kazi. Wengi wa wanawake ni full time house wife, taking care of the kids, kutengeneza nyumba kua home, kuuguza wakwe yaaani hamna kitu anafanya kwa ajili yake (mwanamke); time yake yoote ni kwa ajili ya familia yake - naomba niambia hata asiposhirikishwa huyo atakua na lake incase of emergencies kama maybe the husband anafariki?

Duuuuhhhh, Asha D,

Unafahamu sheria ya ndoa inasemaje kuhusu mali za ndoa (matrimonial properties)? Huyo ana 50% ya kila kitu kinachomilikiwa kwenye ndoa yao ili mradi yeye na mume wake hawakula kiapo kisheria kwamba kuna mali si ya ndoa.

Laiti wanawake wangejua kuwa kuwa mama wa nyumbani nayo ni kazi tena inalipa saaana basi wangeutumia vizuri muda wao badala ya kujiona kama wako nje ya treni inayoenda kasi!
 
Mali kisheria ni za wote kwa hiyo hacha ku invest majumba kwa kuandika majina ya kaka na dada zako. Watakuzidi akili ukifa watoto waumbuke bure. Ndoa ni kushare kila kitu. If it does not work then mahakama itagawanya mali into two.
 
Mbona hiyo patience ina limits au wewe ni malaika kwamba hata jamaa likufanyie vituko gani wewe utaendelea kusubiri tu?



Dhubutu, i have my limits. Am like a tea bag ukitaka kujua my strength nitie katika maji ya moto!
 
Sio wote ambao wanafanya kazi. Wengi wa wanawake ni full time house wife, taking care of the kids, kutengeneza nyumba kua home, kuuguza wakwe yaaani hamna kitu anafanya kwa ajili yake (mwanamke); time yake yoote ni kwa ajili ya familia yake - naomba niambia hata asiposhirikishwa huyo atakua na lake incase of emergencies kama maybe the husband anafariki?

...dunia ya sasa kweli akili kichwani. Mume/mke asipokutenda kwenye mali mlizochuma pamoja, wanandugu wenye mioyo midogo watakusumbua mmoja wenu atapofariki.

Ipo siku mimi na Ex- wangu (baada ya fungate) tulikalishwa chini na mama wa mkwe wangu (bibi.) Huyo Bibi ni msomi tu, anazijua sana sheria. Akaniambia, ni lazima mimi na my wife wangu tukaorodhesha zipi ni mali zangu, na zipi mali za mywife wangu.

Nilibaki nawashangaa, ingawa sasa nimeelewa kwanini alisema vile.
 
Huo ni the worst ushauri ever. Mimi nimeshuhudia dada amefriki kaka zake (wajomba) wamefanya mali kuwa zao kwa sababu alimficha husband. Fikiria watoto jamani ndoa si mume peke yake! It is better kuandika mali kwa majina ya mume na mke kama partners lakini usiri haulipi kamwe!

naomba kuwasilisha hoja ,umeshawahi kukutana na ushauri kama huu,

Mwanaume si mwenzio kama unauwezo wa kujenga jenga kwa siri hata kwenu au popote ,weka kitega uchumi chochote u neva no kesho inakuwaje ? nini mtizamo wako ?
 
Duuuuhhhh, Asha D,

Unafahamu sheria ya ndoa inasemaje kuhusu mali za ndoa (matrimonial properties)? Huyo ana 50% ya kila kitu kinachomilikiwa kwenye ndoa yao ili mradi yeye na mume wake hawakula kiapo kisheria kwamba kuna mali si ya ndoa.

Laiti wanawake wangejua kuwa kuwa mama wa nyumbani nayo ni kazi tena inalipa saaana basi wangeutumia vizuri muda wao badala ya kujiona kama wako nje ya treni inayoenda kasi!



Hayo mambo yapo tu katika makaratasi, niko katika hiyo sector naona mifano hai. wanawake wanatia huruma mno, wengi hawajasoma - cases ambazo hazijafika katika vyombo vya sheria ziko kibao, na ninapozungumzia hilo suala nazungumzia the majority Tanzanian widows, mambo yote yapo wazi but bado hapati haki zake. Achana na widows hawa wa mjini wana support kibao and they know their rights. Hivi unafikiri cause sheria zipo basi zinafuatwa- believe me ni contrary hasa katika hio delicate matter.
 
...dunia ya sasa kweli akili kichwani. Mume/mke asipokutenda kwenye mali mlizochuma pamoja, wanandugu wenye mioyo midogo watakusumbua mmoja wenu atapofariki.

Ipo siku mimi na Ex- wangu (baada ya fungate) tulikalishwa chini na mama wa mkwe wangu (bibi.) Huyo Bibi ni msomi tu, anazijua sana sheria. Akaniambia, ni lazima mimi na my wife wangu tukaorodhesha zipi ni mali zangu, na zipi mali za mywife wangu.

Nilibaki nawashangaa, ingawa sasa nimeelewa kwanini alisema vile.

haahahaaaa huyu bibi aliona mbali, alisoma alama za nyakati vzr kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hayo mambo yapo tu katika makaratasi, niko katika hiyo sector naona mifano hai. wanawake wanatia huruma mno, wengi hawajasoma - cases ambazo hazijafika katika vyombo vya sheria ziko kibao, na ninapozungumzia hilo suala nazungumzia the majority Tanzanian widows, mambo yote yapo wazi but bado hapati haki zake. Achana na widows hawa wa mjini wana support kibao and they know their rights. Hivi unafikiri cause sheria zipo basi zinafuatwa- believe me ni contrary hasa katika hio delicate matter.[/QUOTE

Asha mwanamke asiye na uwezo wa kufight kisheria basi hata uwezo wa kuwa na mali binafsi atakuwa hana. Maana ni wale ma house wife. Kwa hiyo hapo hata solution ya kuwa na vyake kwake aiwork
 
Back
Top Bottom