Eti wao wajanja Magufuli mshamba; si maji wala umeme hakuna

Eti wao wajanja Magufuli mshamba; si maji wala umeme hakuna

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Walimuita Magufuli mshamba kwa maana wao wajanja. Ujanja wenyewe kupiga dili kuhujumu maendeleo ya nchi.
Awamu ya nne tuliambiwa gesi ndio itatatua tatizo la umeme. Tukaacha kwanza mpango wa kuiuza nje tuzalishe umeme kinyerezi. Mabomba yakalazwa urefu wa kilomita elfu na zaidi. Sasa tayari ziko mashine za kuzalisha umeme hadi kinyerezi nne.
Akifungua kinyerezi no 4 Magufuli alitania kwa ule muziki wa majenereta na kusema hali hiyo kwa uhakika haitatokea tena.
Wale fisadi waliyokua wanafungulia maji mtera ili mabwana zao wauze jenereta kwa hakika hawakua na furaha.
Huku tukijua umeme wetu kiasi karibu chote ni cha gesi hivi leo gesi ipo ila tunasumbuliwa na wahuni wale wenzi wa wauza majeneteta. Tena wako wanaongoza wizara. Ni wale aliwatema jpm.
Wale wajanja au wahuni sasa wameshika usukani.
Hakika pamoja na ukame mwamba tungekua naye tusingeteseka kwa maji au umeme. Yeye alikua mchapa kazi na mpenzi wa umma. Angeviona visima chungu mzima vilivyokua vimechimbwa zamani enzi ya Mkapa na kuvifufua. Hata umeme huu unaokatwakatwa ili wafanyabiashara hawa wahindi wauze majenereta ungekua tulivu tu. Wahuni wangekua wamefyata mikia yao kwa kuendelea.
 
Walimuita Magufuli mshamba kwa maana wao wajanja. Ujanja wenyewe kupiga dili kuhujumu maendeleo ya nchi.
Awama ya nne tuliambiwa gesi ndio itatatua tatizo la umeme. Tukaacha kwanza mpango wa kuiuza nje tuzalishe umeme kinyerezi. Mabomba yakalazwa urefu wa kilomita elfu na zaidi. Sasa tayari ziko mashine za kuzalisha umeme hadi kinyerezi nne.
Skifungua kinyetezi no 4 Magufuli alitania kwa ule muziki wa majenereta na kusema hali hiyo kwa uhakika haitatokea tena.
Wale fisadi waliyokua wanafungulia maji mtera ili mabwana zao wauza jenereta kwa hakika hawakua na furaha.
Huku tukijua umeme wetu kiasi karibu chote ni cha gesi hivi leo gesi ipo ila tunasumbuliwa na wahuni wale wenzi wa wauza majeneteta. Tena wako wanaongoza wizara. Ni wale aliwatema jpm.
Wale wajanja au wahuni sasa wameshika usukani.
Hakika pamoja na ukame mwamba tungekua naye tusingeteseka na kwa maji au umeme. Yeye alikus mchapa kazi na mpenzi wa umma. Angeviona visima chungu mzima vilivyokua vimechimbwa zamani na kuvifufua. Hata umeme huu unaokatwakatwa ili wafanyabiashara hawa wahindi wauze majenerata ungekua tulivu tu. Wahuni wangekua wamefyata mikia kwa kuendelea.
Wacha kumtukuza mtu ambaye Mungu kamkataa. Magufuli aliiba kura za 2020 ili awe Rais wa milele. Magufuli aliitwa mungu na wajinga akina Kabudi na Kangi Lugola naye akaamini kuwa ni mungu kweli. Ila cha moto akakipata tarehe 17/ 03/ 21.

Bado musukule yake inaamini kuwa kwenye ukame huu eti maji yasingekuwa shida. Pumbavu zenu
 
Wacha kumtukuza mtu ambaye Mungu kamkataa. Magufuli aliiba kura za 2020 ili awe Rais wa milele. Magufuli aliitwa mungu na wajinga akina Kabudi na Kangi Lugola naye akaamini kuwa ni mungu kweli. Ila cha moto akakipata tarehe 17/ 03/ 21.

Bado musukule yake inaamini kuwa kwenye ukame huu eti maji yasingekuwa shida. Pumbavu zenu
Wewe utakuwa nappe bila shaka
 
Wacha kumtukuza mtu ambaye Mungu kamkataa. Magufuli aliiba kura za 2020 ili awe Rais wa milele. Magufuli aliitwa mungu na wajinga akina Kabudi na Kangi Lugola naye akaamini kuwa ni mungu kweli. Ila cha moto akakipata tarehe 17/ 03/ 21.

Bado musukule yake inaamini kuwa kwenye ukame huu eti maji yasingekuwa shida. Pumbavu zenu
Wewe bakia na kuamini muliibiwa kura. Hao wanaowaimbisha wimbo wa kuibiwa kura wenyewe wanajua mlitoka kapa mbele ya magufuli. Wananchi waiukataa kabisa upinzani. Wewe baki na upumbavu wako eti muliibiwa kura nchi nzima. Mtakua bila shaka wajinga sana😂
 
Masisiemu wema wao ni theluthi tu ya uovu mkubwa si huyo JPM, si JK, si Saa100 na wa nyuma wao kabla yao. Wanatuona mapimbi wanatutuliza na kipande cha mkate huku wao wakikomba mafurushi na kusaza.
 
[emoji119]
Wewe bakia na kuamini muliibiwa kura. Hao wanaowaimbisha wimbo wa kuibiwa kura wenyewe wanajua mlitoka kapa mbele ya magufuli. Wananchi waiukataa kabisa upinzani. Wewe baki na upumbavu wako eti muliibiwa kura nchi nzima. Mtakua bila shaka wajinga sana[emoji23]
 
Wewe bakia na kuamini muliibiwa kura. Hao wanaowaimbisha wimbo wa kuibiwa kura wenyewe wanajua mlitoka kapa mbele ya magufuli. Wananchi waiukataa kabisa upinzani. Wewe baki na upumbavu wako eti muliibiwa kura nchi nzima. Mtakua bila shaka wajinga sana😂
Mungu alimkataa yule muuaji, mwizi na mwongo. Na saa hizi DIKTETA anaungua na moto wa jehanam
 
Wacha kumtukuza mtu ambaye Mungu kamkataa. Magufuli aliiba kura za 2020 ili awe Rais wa milele. Magufuli aliitwa mungu na wajinga akina Kabudi na Kangi Lugola naye akaamini kuwa ni mungu kweli. Ila cha moto akakipata tarehe 17/ 03/ 21.

Bado musukule yake inaamini kuwa kwenye ukame huu eti maji yasingekuwa shida. Pumbavu zenu
Jinga wewe unataka kufika peponi bila kufa
 
Wacha kumtukuza mtu ambaye Mungu kamkataa. Magufuli aliiba kura za 2020 ili awe Rais wa milele. Magufuli aliitwa mungu na wajinga akina Kabudi na Kangi Lugola naye akaamini kuwa ni mungu kweli. Ila cha moto akakipata tarehe 17/ 03/ 21.

Bado musukule yake inaamini kuwa kwenye ukame huu eti maji yasingekuwa shida. Pumbavu zenu
Tatizo la maji ndio linaongelewa hapa tuna shangaa rais kama halioni vile yeye anakula bata tuu

Huyu mtu kwakweli haguswi kabisaa na matatizo ya watanzania
 


Mzilankende Mnyago

Ngosha Chapa Ng'ombe
Chuma Hicho
Jiwe


Mwendo Ameumaliza Sasa Anaongoza Mailaka Pole Pole
 
Wacha kumtukuza mtu ambaye Mungu kamkataa. Magufuli aliiba kura za 2020 ili awe Rais wa milele. Magufuli aliitwa mungu na wajinga akina Kabudi na Kangi Lugola naye akaamini kuwa ni mungu kweli. Ila cha moto akakipata tarehe 17/ 03/ 21.

Bado musukule yake inaamini kuwa kwenye ukame huu eti maji yasingekuwa shida. Pumbavu zenu
Ndugu zako wote waliokufa Mungu kawakataa Ilawewe uliehai ndio Mungu kakukubali?
Pongezi sana kwakukubalika kiongoz
Yana mwisho na yatalipwa hapa hapa.
 
Back
Top Bottom