..hao graduates wa Tanzania ni wezi wakiwa nchini kwao lakini wakiwa nje siyo wezi!!
..mbona kuna nchi kama Botswana na wakati fulani Zimbabwe Watanzania walikuwa wakiajiriwa kwa wingi tu?
..inawezekana Wakenya wakawa wako comfortable zaidi kuzungumza Kiingereza, lakini hiyo hailazimishi kuwaajiri wao na kuwaacha Watanzania.
..labda kinachowashinda Watanzania ni customer service lakini hilo ni suala ambalo mfanyakazi anaweza kujifunza kwa kuwa-exposed zaidi.
..mbona kuna nchi kama Botswana na wakati fulani Zimbabwe Watanzania walikuwa wakiajiriwa kwa wingi tu?
..inawezekana Wakenya wakawa wako comfortable zaidi kuzungumza Kiingereza, lakini hiyo hailazimishi kuwaajiri wao na kuwaacha Watanzania.
..labda kinachowashinda Watanzania ni customer service lakini hilo ni suala ambalo mfanyakazi anaweza kujifunza kwa kuwa-exposed zaidi.