Hao madaktari unaowataka hawawezi kuelezea hili.Kwanza kama ulichonukuu ni sahihi basi huyo aliyesema hivyo sio mtaalam.Hakuna mtu ambaye hawezi kupata ukimwi duniani.
Niliwahi kusema kwamba kasumba ni kitu kibaya sana,imefikia wakati sasa watu hawaoni tofauti kati ya Ukimwi na VVU/Ukimwi.Ukimwi upo lakini hausababishwi na germs/vijidudu na hauambukizwi na hauambukizwi kwa njia ya ngono.Hakuna ugonjwa unaoitwa VVU/Ukimwi kiuhalisia,VVU/Ukimwi ni ugonjwa wa kufikirika tu kwa kuwa hakuna virus ambaye ana uwezo wa kushusha kinga ya mtu duniani.
Hivyo basi,maelezo kuhusu uwepo wa CCR5 gene mutation hayana mashiko kwa kuwa mhusika mkuu anayelengwa hapa ambaye ni VVU hayupo kiuhalisia.Sijui kama nimeeleweka hapo.