ha bari za wikiend JF!
Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha
kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au
kua na mahela mengi lakini angalau niwe na convinient source ya income.
Pamoja na kigezo hiki kubakia na uzito mkubwa lakini kwa sasa nimekiweka cha pili.
cha kwanza kwa sasa ni kuwa au kumpata mtu wa kumwoa.
sikuwah kufikiri kua hii ni bahati, au baraka na si kila mmoja anae/ataepata.
Hivi kwa wewe mJF kigezo kikubwa unachozingatia kabla ya kuoa ni kipi??
Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha
kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au
kua na mahela mengi lakini angalau niwe na convinient source ya income.
Pamoja na kigezo hiki kubakia na uzito mkubwa lakini kwa sasa nimekiweka cha pili.
cha kwanza kwa sasa ni kuwa au kumpata mtu wa kumwoa.
sikuwah kufikiri kua hii ni bahati, au baraka na si kila mmoja anae/ataepata.
Hivi kwa wewe mJF kigezo kikubwa unachozingatia kabla ya kuoa ni kipi??