Eti wewe unazingatia nini? nyumba, gari, kipato, mapenzi.........???

Eti wewe unazingatia nini? nyumba, gari, kipato, mapenzi.........???

kaka unadhani mkua jitihada yoyote unayoweza kufanya ili kupata huyo mke wako (wakufanana nae)
me naona kama hhakuna jitihada za kibinadam zinazowezekana labda za kiroho na hii ji kwa wale waaminitu.
sasa kwa wasio waamini sijui inakuaje!
katika hili nakusihi usinitie majaribuni ee mwenyezi Mungu.Amen.

Jitihada kaka zipo kabisa! kwani wewe huelewi mke wako unataka awe na sifa gani? cha msingi ukielewa hivyo anza kutafuta wa hivyo! Ila chamaana zaidi nikumwachia mwenyezi mungu!
 
Naweza nikawa na mpenzi tayari lakini siwezi kuingia katika ndoa kama sina uhakika na kipato cha kuniwezesha kubadili mlo...

mh! nadhani sijawa na uhakia na unachomanisha.
yani unamana unaweza kua na mtu, kaishi pamoja na kuzaa ila hutofunga ndoa mpaka uhakikishe kua unakipato??
au nimekosea kukutafsiri??
 
Back
Top Bottom