Tungekuwa pamoja ungesema ninakuiga! Mimi nimejaribu kusoma soma vitabu na kugundua umuhimu wa hili suala naomba nisharee nawewe ifuatavyo:-ha bari za wikiend JF!
Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha
kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au
kua na mahela mengi lakini angalau niwe na convinient source ya income.
Pamoja na kigezo hiki kubakia na uzito mkubwa lakini kwa sasa nimekiweka cha pili.
cha kwanza kwa sasa ni kuwa au kumpata mtu wa kumwoa.
sikuwah kufikiri kua hii ni bahati, au baraka na si kila mmoja anae/ataepata.
Hivi kwa wewe mJF kigezo kikubwa unachozingatia kabla ya kuoa ni kipi??
nawasubiria kwanzaha bari za wikiend JF!
Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha
kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au
kua na mahela mengi lakini angalau niwe na convinient source ya income.
Pamoja na kigezo hiki kubakia na uzito mkubwa lakini kwa sasa nimekiweka cha pili.
cha kwanza kwa sasa ni kuwa au kumpata mtu wa kumwoa.
sikuwah kufikiri kua hii ni bahati, au baraka na si kila mmoja anae/ataepata.
Hivi kwa wewe mJF kigezo kikubwa unachozingatia kabla ya kuoa ni kipi??
ha bari za wikiend JF!
Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha
kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au
kua na mahela mengi lakini angalau niwe na convinient source ya income.
Pamoja na kigezo hiki kubakia na uzito mkubwa lakini kwa sasa nimekiweka cha pili.
cha kwanza kwa sasa ni kuwa au kumpata mtu wa kumwoa.
sikuwah kufikiri kua hii ni bahati, au baraka na si kila mmoja anae/ataepata.
Hivi kwa wewe mJF kigezo kikubwa unachozingatia kabla ya kuoa ni kipi??
ndio maana nikasema nawasuburia kwanzaHapa tutadanganyana tu hakuna atakayekupa jibu la ukweli
:violin:ndio maana nikasema nawasuburia kwanza
Hapa watajitokeza wanaaa ile mbaya
Ahaaa ahaaa ngoja uonendio maana nikasema nawasuburia kwanza
Hapa watajitokeza wanaaa ile mbaya
Aisee kimada umeishamuweka ndani??? lol!!!At least niwe na source nzuri ya income!!
mimi simoAhaaa ahaaa ngoja uone
Kwenye hili watu wataficha INSTINCTS zao ili waonekane tofauti na ndio maana nikawa nasema hapa wengi tutaishia kudanganyana tu na kupakana mafuta kwenye mgongoInstincts... Go with instincts.. Issue kama instincts zako ni mbovu...
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....Kwani nini kazi ya uGF na uBF? hiyo ndo preparatory stage ya kuoa., I don't wanna bliv kwamba mtu ukiwa unatafuta maisha(Kujijenga kiuchumi) ndo hutajihusisha kabisha huku kwa malavidavida (uGnBF)
Mi naamini hadi pale utakapokuwa umeshajijenga utakuwa ushajua nani wa kumuoa..!
Kwenye hili watu wataficha INSTINCTS zao ili waonekane tofauti na ndio maana nikawa nasema hapa wengi tutaishia kudanganyana tu na kupakana mafuta kwenye mgongo