kaka unadhani mkua jitihada yoyote unayoweza kufanya ili kupata huyo mke wako (wakufanana nae)
me naona kama hhakuna jitihada za kibinadam zinazowezekana labda za kiroho na hii ji kwa wale waaminitu.
sasa kwa wasio waamini sijui inakuaje!
katika hili nakusihi usinitie majaribuni ee mwenyezi Mungu.Amen.