Fidel80 wewe ni mganga wa jadi nini?
Hosp hawawezi toa ushauri kama wako hahahahaha
Ikatokea siku umeoa (if that day is gonna happen), mkeo akapata watoto, ikawa bahati yako mbaya size imeongezeka huko ikulu, would you run away?
he heheeee, Fidel kawa Kungwi
yanasaidia kurudisha misuli iliyolegea?
ndo maana nikasema ukiwa umeoa utaelewa maana nzima ya kuvumilia weakness kama hizi, marriage ni uvumilivu esp kwenye weakness za kila mmoja wenu. hakuna mtu anayependa substandards. hapo kwenye red hapo umenifurahisaha.Kwa kesi hii nitaendelea kumpenda maiwifu, nikuwa iwapo itatokea ajali au janga litakalobadilisha hali yake nitavumilia tu ila si kuwa wakati nasaka maiwaifu nikakutana na XXL eti niendelee ku puti apu nalo tu kisa nataka mke ya nini hayo.
angekuwa amejifungua kwa njia ya kawaida ningemsaidia ka ushauri mana inaweza ikawa kweli kwamba imepanuka kwa kiac fulani, amejifungua kwa operesheni then mzee anadai haya mhh cna uhakika sana,kuchokana cjui ndio kuanziaga hivi.
There is no way kupanuke tu bila chanzo, there are two explanation that i can think of,labda kama mama ana jamaa lingine lenye msokoto wa kutosha XXXL (refer to Burn), au kama mumewe ndo ana kidude kidogo ila alikuwa anavumilia, otherwise may be wanatumia ky sasa jamaa akiingia hakuna road block au..au...au i duno
Yaani una maanisha kajifungua kwa operation kubwa!Kwa sababu ninavyojua mimi(mwanamama akijifungua kwa mkasi) wanachofanya madaktari ni kuongeza njia kipindi mwanamama anajifungua,kitu kinacholeta sense inaweza kuwa ni chanzo cha njia kupanuka.Wataalamu wanaweza kutusaidia.
I reaaly dont know, i am just trying to think you know. sijui kama ina effect au vpnahic hata kama akiwa na wa hivyo haitaweza sababisha huyu mr atambue tatizo, atalitambuaje sasa kama hiki kitu kinajirudi chenyewe, nahc mr ana lake jambo...hivi Carmel kwa mfano mr wangu ni size ya kawaida nje nina mwenye large huyu mr wangu atalitambuaje hili kwa ku guess kama nina wa large?
Che huyu kafanyiwa ceserian wenyewe wanaita yaani mtoto katolewa kwenye tumbo kwa kupasua tumbo na si kuongezwa njia. Si ndo panaposhangaza!
nahic hata kama akiwa na wa hivyo haitaweza sababisha huyu mr atambue tatizo, atalitambuaje sasa kama hiki kitu kinajirudi chenyewe, nahc mr ana lake jambo...hivi Carmel kwa mfano mr wangu ni size ya kawaida nje nina mwenye large huyu mr wangu atalitambuaje hili kwa ku guess kama nina wa large?
Che huyu kafanyiwa ceserian wenyewe wanaita yaani mtoto katolewa kwenye tumbo kwa kupasua tumbo na si kuongezwa njia. Si ndo panaposhangaza!
Mimi happa ndipo panaponitatiza huwa ninaamini kunakuwa na tofauti tu ambayo lazima atajajua au? Kwa sababu kama mr anapewa kwa ratiba wakati mwenye XXXL anakula karibu kila siku tena pengine siku nyingine milo miwili (si vya kuiba!) si lazima kutakuwa na alama? Barabara yenyewe tu inatengenezeka kwa kadri gari anayopita mara kwa mara na inatemegea na upana wa gari au ?
Aisee,mi nafikiri kama alikuwa anataka kuwa na nyumba ndogo ni vizuri jamaa angefanya kimya kimya kuliko kumpa mwenzie maumivu mara mbili.Yaani jamaa katafuta nyumba ndogo tena kwa kukutusi.JAMANI HII DUNIA INA MAMBO.
Yaani una maanisha kajifungua kwa operation kubwa!Kwa sababu ninavyojua mimi(mwanamama akijifungua kwa mkasi) wanachofanya madaktari ni kuongeza njia kipindi mwanamama anajifungua,kitu kinacholeta sense inaweza kuwa ni chanzo cha njia kupanuka.Wataalamu wanaweza kutusaidia.
Kwa hiyo unamaanisha huyu mama njia yake ni nyembamba sio? Kwa hiyo huyu mashine yake haiwezi kuchuja mapema au kulegea mapema baba atakuwa anafaidi kila mara kitu kama kipyaaaaa.
Mimi happa ndipo panaponitatiza huwa ninaamini kunakuwa na tofauti tu ambayo lazima atajajua au? Kwa sababu kama mr anapewa kwa ratiba wakati mwenye XXXL anakula karibu kila siku tena pengine siku nyingine milo miwili (si vya kuiba!) si lazima kutakuwa na alama? Barabara yenyewe tu inatengenezeka kwa kadri gari anayopita mara kwa mara na inatemegea na upana wa gari au ?
Kwa hiyo unamaanisha huyu mama njia yake ni nyembamba sio? Kwa hiyo huyu mashine yake haiwezi kuchuja mapema au kulegea mapema baba atakuwa anafaidi kila mara kitu kama kipyaaaaa.
namaanisha kujifungua bila tatizo lolote, kutumia mkac/kushonwa, mie wanangu nimejifungua bila kuchanika hata kidogo, ndio nilimaanisha hivyo, cjui umenipata?[/QUOTE]
kuna tafsiri mbili hapa:
1)njia yako ni kubwa
2)watoto unaowazaa wadogo
wewe ndo unaona hivyo,jamaa si huyo kasepa kwa nyumba ndogo.Na hivi analea,atakuwa anamsikia tuu kwenye bomba.