Kama unaamini hatuwezi hayo yote, kwa ninina serikali kuu nao wasiondoke wawape private?KIUKWELI:Hakuna namna nyingine SGR LAZIMA iendeshwe na private sector tu. Watumishi wa umma HAWATAWEZA hata kidogo. Tatizo kubwa ni sheria za utumishi wa umma HAZINA UWAJIBIKAJI. ZIKO too slow. Hali hiyo inaifanya sector ya umma ishindwe kufanya kazi za kibiashara zinazohitaji efficiency kubwa. Watu wanamlaumu mama kimihemuko tu bila hoja. Alichokifanya ni sahihi kwa 98%. Utumishi wa umma umeshindwa kuiendesha bandari for so many years.
This is the truth of the matter.
Sio mbaya kama kuna tija au kama tatizo muarab hilo jambo lengine"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."
"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."
"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"
"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"
"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."
Mnyetishaji.
Akaunt yake ya ughaibun ndio imenona.Nachotaka kujua, Samia yeye ananufaika nini?