Tetesi: Etihad Rail kupewa SGR kuiendesha

Tetesi: Etihad Rail kupewa SGR kuiendesha

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."

"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."

"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"

"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"

"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."

Mnyetishaji.
 
"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."

"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."

"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"

"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"

"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."

Mnyetishaji.
Wazanzibari wanapenda sana kupiga vitu mnada, hasa vitu vya Tanganyika.
 
hivi haya mambo ya ubinafsishaji si yamekwisha kuleta madhara makubwa sana kwa tawala zilizopita.

nakumbuka Mh. Benjamin W Mkapa alishawahi kujutia hili baada ya kufanya ubinafshaji sasa nashangaa bi tozo kwa nini hajifunzi kutoka huko au anatufanyia kusudi kwa sababu anazozijua yeye.
 
"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."

"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."

"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"

"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"

"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."

Mnyetishaji.
Safi sana, bado na ule mlima Kitonga na mto Ruaha
 
"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."

"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."

"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"

"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"

"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."

Mnyetishaji.
Duh!!! Tanzania yetu
 
Back
Top Bottom