Katika fuatilia kwangu mpira wa miguu(SOCCER) nimeona mchezaji Samuel Et'oo(FILLS) amezifunga timu tatu bora za England
-vs Arsenal fainali ya Ligi ya Mabingwa kule France
-vs Man Utd fainal ya Ligi ya Mabingwa kule Italy
-vs Chalsea raundi ya 16 Ligi ya Mabingwa barani Ulaya
-vs Arsenal fainali ya Ligi ya Mabingwa kule France
-vs Man Utd fainal ya Ligi ya Mabingwa kule Italy
-vs Chalsea raundi ya 16 Ligi ya Mabingwa barani Ulaya