Baraka Gabriel
Member
- Jul 13, 2015
- 15
- 2
inawez
ekana mie na watz wengi sana hatusikizi clauds tena mambo ni EFM .......... tanfu kina pj wahame niliwapotezea clauds japo najua huyu mlevi mmoja karudi clauds mie sijarud bado nipo Efm na kina baby mama nawengineo
Kama wewe unasikiliza haimaanishi waTz wote wanaisikiliza...kwanza hiyo Efm nasikiaga tu kwenye mitandao kuwakuna hiyo radio station,lakini huku bado sijawahi isikia...labda wanapatikana Dar tu na mikoa ya pwani tu,nadhani bado clouds fm wapo juu na wana fanbase kubwa na watangazaji wao wako creative na talented sana...