EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

02 December 2021
Brussels EU

All eyes on the new administration after the passing on of John Pombe Joseph Magufuli


The European Union foreign affairs committee sitting in Brussels, is reviewing Tanzania's current political situation , judiciary independence and the shrinking democracy, civic and media space in Tanzania under the leadership of H.E President Ms Samia Suluhu Hassan ...and further more the detention of Mr. Freeman Mbowe and several members of the opposition party CHADEMA in Tanzania..
 
Hebu rudia kusoma kama utaona hoja hapa
Ndio maana nikakwambia ubongo wako umegandamizwa...yaan huon hoja hapo? Hoja ni kwamba kma unataka kutuaminisha Tanzania Ina utawala wa sheria, mbona mama yako alitoa hukum kabla ya sheria?. Jibu hapo...
 
Tulia wewe Wazungu wawafundishe maadili ya Utawala bora. "Free State" ipo South Arica tu, inaitwa Orange Free state.
 
OCD mmoja katika Wilaya 139 anaweza kujustfy hiyo hoja yako?
Ungewauliza wao mkuu. Mm nnachojua Tanzania hakuna polisi anayeweza kunusa harufu ya UGAIDI!
wala hakuna tukio lolote la magaidi hapa.
Walishindwa hata kujua mienendo ya bwana Hamza aliyekaa km toka ikulu wanawanalojua hao polisi zaidi ya kubambikizia case na rushwa???
 
Ndio maana nikakwambia ubongo wako umegandamizwa...yaan huon hoja hapo? Hoja ni kwamba kma unataka kutuaminisha Tanzania Ina utawala wa sheria, mbona mama yako alitoa hukum kabla ya sheria?. Jibu hapo...
Alitoa hukumu gani?
 
Tukio la Hamza liliwaongezea umakini, That's why
 
Mleta mada bora babaako angepiga punyeto tu kipindi anakukojoa
 
Kwani Sheria za ajira kwa polisi zinasemaje?

Jina Mahita halitakiwi?
Za BOT zinasemaje mbona walijaa watoto wa wakubwa???
Za uuzaji wa nyumba za umma zinasemaje mbona nyumba za serikali ziliuzwa mpaka kwa mahawala na ndugu ambao hata hawakuwa watumishi?
Sheria za ajira za polisi zinakataza wasikaguliwe VYETI vyeo huku wengine wakitolewa kazini??
 
Mleta mada bora babaako angepiga punyeto tu kipindi anakukojoa
CHADEMA MMEKUTANA NA KITU KIZITO AWAMU HII,

CCM YA SAMIA USIPIME,

TUMEWASHIKA KILA KONA,

MMEBAKI KURIPOTI KESI YA MBOWE TU

HOJA HAKUNA TENA

#KAZIINDELEE
 
Haya bwana mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…