EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Sasa unalia nini kama "TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,."
Endelea kusima.ia unachokiamini na iache EU iendelee na taratibu zake.
 
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje ya Bunge la Ulaya azidi kuikomalia awamu ya sita ya utawala wa CCM kuendeleza yale ya awamu ya tano yasiyovumilika


Source :
Sikiliza hapa.
 

Attachments

  • VID.mp4
    15.5 MB
Nawapia. Njaa mbaya Sana kwa kesi ya Mbowe kuna mtanzania mwenye akili timamu anakataa ile kesi ni magimashi?
 
Kama CHADEMA tangu iasisiwe miaka 32 imeongozwa na ndugu wawili tu,

Edwin Mtei
Freeman Mbowe

Unataka Udicteta gani?
 
Wewe jamaa..umeandika kama mtoto wa darasa la pili. Yaani Ninyi ndy mnaiua chama la Mwalimu JK Nyerere. Mnashindwa kusimamia misingi ya utu,mshikamano na upendo miongoni mwa wananchi. Mnaandika vitu vya takataka..lakin Ninamashaka sana kama mliosoma Politics, philosophy, and civilization. Kwenye Politics hakuna unafiki kule ni sera. Na sera makin ndy maisha ya watu katika nchi yao. Pamoja na kuwakemea wanoakupeni misaada inayowapa viburi bado mumesahau kuwa Misaada yao hutegemea democracy na misingi ya haki ambayo Serikali inaexercise!!Tengeneza maneno ya kujenga nchi!!
 
CHADEMA ACHENI KULIHUJUMU TAIFA KIMATAIFA,

HILI LITAWAGHARIMU WAKATI WOTE
 
Katika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
Ulikuwa sahihi sana mkuu wangu,CHADOMO Wameangukia pua,
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Katika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
fact
 
Daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…