Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hey Great Thinker, Low will always remain low and most of us are above low.Kama Mahakama ilitenda haki kwa Lengai Ole sabaya hakika itatenda haki kwa Freeman Mbowe,
No One is above The Low
Jamaa huwa nakuheshimu ila hii ni pumba sanaUchafu wote unaondelea hapa nchini tunaujua, Magufuli hayupo, lakini serikali yote hii ni iliyopatikana kwa maagizo yake. Zile siasa za kishenzi zote alizoziacha zipo,na yote hayo tunayaona kwa macho yetu. Leo hao jumuiya ya Ulaya waje tutawapa na ushahidi wa wazi wa uchafu huo. Ccm wanafanya siasa watakavyo wakati hawako madarakani kwa ridhaa ya umma, na hawataki wengine wafanye siasa kwa mujibu wa sheria. Tunawaomba sana hao jumuiya ya Ulaya wachukue hatua kali dhidi vya serikali hii, tuko tayari kupata taabu lakini sio kutawaliwa na ccm bila ridhaa yetu.
Hao ndio CHADOMO mkuu wanguMbona alipofungwa Sabaya hamkusema mahakama hazipo huru kwa mbowe ndio inaonekana haipo Hutu?
Hivi shule uliiachia darasa la ngapi?Bila wazungu CCM ingetumaliza
Low?Hey Great Thinker, Low will always remain low and most of us are above low.
Are you truely a Great Thinker?
CHADOMO WASOME WAPI?Hivi shule uliiachia darasa la ngapi?
desi achana na haya mambo, CCM imeletea umasikini wa kutupwa hapo kwenu, angalia mji mzima wafanyabiashara ni wachaga tupu na nyie mnalima vibarua kwa wahindi KiruHivi shule uliiachia darasa la ngapi?
Je ugaidi unaofanywa kwa kutumia kisu cha shs 2000/= huko Israel hauonekani sio?Hata kichaa anashangaa ugaidi unafanywa kwa gharama za laki 6 pesa za kitanzania ambayo ni kama USD 255!
Lazima tuondokane na huu up.umbavu wa kukamata watu hovyo, kuwatengenezea mashtaka bandia yanayowatesa mahabusu, halafu kwa upumb.avu ule ule, tunatoka na kusema kesi ipo mahakamani, tusubiri mahakama itaamua. Ni lazima nchi iongozwe na watu wenye akili timamu, watu wenye dhamira njema, na wenye uadilifu, na siyo kama ilivyo sasa.Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228
View attachment 2030229
Soma alichoandika cm1774858 #91, ndiyo sababu nimeshangaa ksma naye ni GT.Low?
100% naungana na weweChadema ni genge la wahuni wenye kutaka kushika dola
TUNAHITAJI WAHUNI WAPYA WATAKAOENDANA NA KIZAZI HIKI KULIKO HAO WAHUNI WENU WA KIZAMANI WANAOTUMIA MAMBINU YA KIZAMANI KAMA KUTESA KUUA NA KUBAMBIKIA WATU MAKESI YA HOVYO HOVYO!Chadema ni genge la wahuni wenye kutaka kushika dola
Polee sana, hoja za watoto wa chekechea hazikeshiChadema ni jamii Frani ya nyoka yenye vichwa viwili ,hawangalii madhara yanayoweza kuwapata Watanzania hasa WA kipato cha chini ,wao ni kubwatuka tuuu.Wanasheria Bora na wabobezi Wapo chadema Sasa wanaogopa nini .kesi IPO Mahakama pambaneni vidume
Niwewe na Mbowe tu nadhaniMara CHADEMA imekufa mara sijui nini sasa mbona bado kumbe kuna wanachadema?
Sijawahi kuomba heshima kwa majizi yoyote ya kura. Hivyo usitegemee nasubiri heshima yoyote toka kwako. Tutaunga mkono yoyote, kama weusi wa Afrika kusini walivyotuunga mkono tulipowapa msaada wa hali na mali, ili kuwang'oa makuburu huko kusini mwa Afrika.Jamaa huwa nakuheshimu ila hii ni pumba sana
Chizi maharifaJe ugaidi unaofanywa kwa kutumia kisu cha shs 2000/= huko Israel hauonekani sio?
Mkuu umeandika vizuri ila sio sahihi,We jamaa utakua na chuk binafsi na hao uliowaorodhesha!
Sio kwamba hawajali maslah ya nchi na si kwel kwamba walimkimbia magufuli mazima na kwamba unajishangaza kuwa magu hayupo ila Bado wako huko na hawatak kurudi!
Ukwel ni kwamba;
CCM + POLICCM=WATU WASIOJULIKANA WANAOJULIKANA
Hii hoja yako imekaa kimkakati na kimtegomtego hivu ili mtengeneze mazingira ya kuwamiminia risasi Kama mlivyofanya kwa lisu, na Kama jinsi mlivyowatesa makomandoo wasio na hatia yoyote!
ila sote ni watu wazima mbinu inasomeka akilin mwa mwenye akili