Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi ni mbaya sana

Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi ni mbaya sana

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wamepelekwa Kwampalange

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.

Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
 
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni, inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamchorea timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni, wakamshenyeta sana

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea
Pamoja na adhabu hiyo bado kuna adhabu kali kwa wazinzi wote siku ile ya mwisho. Adhabu hiyo ni kutupwa katika moto wa milele.
 
Wake za watu nao haka katabia cha kuwasogezea/kuwatamanisha/udanganyifu wowote ule na kusema waume zao hawawatoshelezi waache mara moja, maana jau sana unakuta mshangazi fulani hivi kamnata kijana wawatu hadi kujitoa inakuwa msala na vitisho lukuki.
 
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.

Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Sasa wamemshenyenta jamaa bila kumuadhibu na huyo mwanamke?

Ukute mwanamke ndo pepo lenyewe Sasa, litaenda kutafuta vijana wengine, bila kumwadhibu huyo mwanamke mbona watawashenyenta vijana wote watawamaliza.

Afu hio sio adhabu hiyo ni kutuongezea idadi ya wanawake tuu.

Unampa mtu adhabu ya kumshenyenta kumbe unatuongezea idadi ya wanawake,

Unataka wanaume tuanze Tena kusumbuliwa kushenyenta, maana tutazidiwa na wanawake Sasa lohhhhh
 
A
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.

Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Aisee wake za watu sio Dili ohooo
 

Attachments

  • VID-20241223-WA0016.mp4
    1.2 MB
Back
Top Bottom