EURO 2016 AWARDS; Ronaldo hajaambulia tuzo hata Moja

EURO 2016 AWARDS; Ronaldo hajaambulia tuzo hata Moja

CR7 kwenye individual achivement hakuna ambacho hajatimiza ila alibakiza hili ambalo jana kalitimiza na ndio maana kwa muda mrefu watu wamekua wakilaumu kua pamoja na mafanikio yake kwenye clubs sio lolote kwenye timu ya taifa ila jana kamaliza fitina.
Kwangu kubeba ndoo jana ni kila kitu kwa CR7 naamini hata yeye ndoto yake ilikua kufanya lile alilofanya jana akiwa captain wa Ureno.
View attachment 365225
View attachment 365226
Hizi picha zitabaki milele kwenye kumbukumbu za CR7 na Wareno.
Messi aoneshe picha kama hizi na yeye!
 
Hatimae juhudi za Vyombo vya habari vya Uingereza kutaka kutengeneza namna Cristiano Ronaldo aonekane anafanya vizuri katika Mashindano ya kimataifa zimegonga mwamba baada ya Washindi wa Tuzo mbalimbali za EURO 2016 kutangazwa ambapo Ronaldo hajaambulia chochote

Mission ya kulazimisha kumkuza Ronaldo dhidi ya Messi imekwama. Atabaki tu na Historia ya kufunga Magoli 3 Mechi zote mpaka Mashindano yanaisha

Washindi wa Tuzo hawa hapa
View attachment 365220
Kapata silver boot na hata haja jali kamgawia bwana nani
a3cbf780ee4655a478fa1147cf41c36c.jpg

Uwe unafuatilia habari siyo unakurupuka
 
Griezman kacheza vyema sana kwenye michuano hii ... Kuanzia movements zake na kufunga magoli. Jana haikuwa siku yake kwani zile header 2 zilipaswa kuwa ndani ya nyavu.
 
Kapata silver boot na hata haja jali kamgawia bwana nani
a3cbf780ee4655a478fa1147cf41c36c.jpg

Uwe unafuatilia habari siyo unakurupuka
Sliver boot ni kwa nafasi ya 3 kwa ufungaji.

Kuna Gold, Bronze & Silver.

Nani naye amefunga magoli 3 pia.
 
Sasa wenye magoli ma 3 ni wengi sana.

Anyways, hongera kwao.

Ndo mpira huo; Ndio maana hata Ugiriki ilishinda mwaka 2004 ... Mpira una maajabu yake.
Ni kweli hata torres mwaka 2012 aliwashinda kina mata japo wote wana magoli ma nne, sababu ni yeye alikuwa na assists nying zaid
So Ronaldo katika wenye magoli ma 3 yeye alikuwa na assist nying zaid
Ndo anapata kwa merit hyo
 
Ni kweli hata torres mwaka 2012 aliwashinda kina mata japo wote wana magoli ma nne, sababu ni yeye alikuwa na assists nying zaid
So Ronaldo katika wenye magoli ma 3 yeye alikuwa na assist nying zaid
Ndo anapata kwa merit hyo

Umewakilisha vema...
 
Asante

Mimi ni shabiki wa Ronaldo
Tena wa kugala gala kabsaa

Nakubaliana nawe.

Umewakilisha vizuri kwa hoja.

Kama bado ataendelea kubisha, ajiulize kwanini "moth" walilia pamoja na Ronaldo. Mwisho, akaibuka na kicheko.

screen-shot-2016-07-10-at-12-22-40-pm.jpg
 
Nakubaliana nawe.

Umewakilisha vizuri kwa hoja.

Kama bado ataendelea kubisha, ajiulize kwanini "moth" walilia pamoja na Ronaldo. Mwisho, akaibuka na kicheko.

screen-shot-2016-07-10-at-12-22-40-pm.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo moth yaan hadi alifunguliwa account ya twitter hiyo jana
 
Huyo moth yaan hadi alifunguliwa account ya twitter hiyo jana

"Moth" kawa "celebrity" ghafla. Alijua kuchangamkia fursa. "Moth" akatua kwenye jicho ili Ronaldo asilie sana kwakuwa

mwisho wa mchezo kuna furaha...
 
So what!!!!! Kapata kombe, ana shida na hizo tuzo uchwara.
 
Mess ni wa barcelona tu cr7 toka ngaz ya club hadi kimataifa.
 
Back
Top Bottom