Warusi wanapendana Sana hao mashabiki Kuna baadhi wamepelekwa France kwa hisani ya serikali hapo hapo Kuna wale wababe wanaopiga dojo wote masensei karibu na Club ya Locomotive Moscow. Waingereza tatizo dharau alafu pumzi hamna wakati Ata demu Ni mbabe.
ah,nadhan ilikuwa Uturuki ileWaingereza Ni fujo Sana kila EURO wao Tu nakumbuka ureno 2004 pia walileta fujo this time wamekutana na wagumu na bado watanyooshwa na Pinda kasema wapigwe Tu maana hamna namna.
Ofkozi,inaeleweka kuwa mashabiki wa kiingereza ni wagomvi sana,sasa labda warusi waliwatwanga sana ndo maana adhabu imewaangukia,tabia za waingereza kama mashabiki wa nchi za kiarabuVyombo vyao habari vinadai wale Ni thugs or hooligans! Waingereza wapuuzi Sana sijawahi ona ngoja watandikwe warusi alafu uchokozi walianza wao. This time watakoma.
Warusi Ni nouma wale mashabiki acha kabisa wana uwanja wao wa kujifua wako full pale wacha kabisa wanaongozwa na manjemba wa Locomotive Moscow hao watu Ni shida tupu Ata front wanaingia na arms.
Waingereza Ni wachumba kwa warusi.
Yes, warusi wanapendana kweli hawana unafiki.
Viingereza ni vijinga mno, havina nguvu
wala nini halafu vinajidai vibabe.
Hahahaha, hizi nunda za Russia noma
Daaah, yaani wanakimbia haswa utadhani masoja wanatembeza kichapo mtaani
Mashabiki wa Uingereza wakitembezewa kichapo
Nimecheka sana nilipoona hizi pichaDaaah, yaani wanakimbia haswa utadhani masoja wanatembeza kichapo mtaani
Cameroon hajatia neno hadi leo,Hahahaha, hizi nunda za Russia noma
Labda anapangilia uwongo wa kuongea kwa UEFA ili waibane Russia zaidiCameroon hajatia neno hadi leo,
Leo atakuwa na meeting Russia na wakuu wa nchi zenye nguvu ya kiuchumiLabda anapangilia uwongo wa kuongea kwa UEFA ili waibane Russia zaidi
But this time wameoneshwa adabu hasaaaWaingereza ndo zao