Nilikujibu hiviGerman unawajua wee? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukanijibu hiviKwani France tulikuwa hatuwajui..?
Ndio nimeona, kundi la kifo limepatwa na umauti uliotukuka[emoji23][emoji23][emoji23] sasa utaona.
[emoji28][emoji28][emoji28]Huyu jamaa akishika mpira kumpokonya shughuli.. guu lenyewe Kama mbao ya 8*1
Tutakoma leoBingwa awe yeyote ila sio England.. Wana midomo sana...
Ngoja tuone atakutana na nani kati ya Sweden na Ukraine.England akikutana na mpira wa kihuni wa Denmark au hawa Waswizi hachomoki.
France, Portugal na Germany dah hawa jamaa kweli wamekufa kibuduKundi F la Kifo hatimae limekufa kibudu
Ulipatia ila Mimi nilimpa Germany, kumbe nilikuwa namkatia tiketiZamu ya vibonde so uingereza anafuzu, Germany out.
Leo tutasutwa sana na hawa wajukuu wa MalkiaMkuu maturity ni muhimu sana kwenye hizi knockout stage.
Ngoja tuone leo saa moja watoto wa malkia wataiambia nini dunia.
Kabisaa mkuu.Amekula adhabu yake tayari
Austria mkuu sio AustraliaItaly anafatia, ni lazima aage mashindano.Yaani kwa ule mpira aliopiga na Australia,sioni alifika mbali.
Bingwa Denmark, Ili tumuenzi vizuri Ericksen.
Hadi sasa England imefunga jumla ya magoli 4(3 Sterling, 1 Kane)Okay..Sterling naona nyota inazidi kungaa tu..kawaweka benchi watu kibao.
Sawa ila mimi nabaki kuwa mpenzi mtazamaji maana matokeo ya mechi nyingi ni ya kushangazaSpain bingwa