Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Kwanini watu wamewa-underrate Germany?
Daaaah yaan km vile movie, kumbe ni kweli eti.Kundi F la Kifo hatimae limekufa kibudu
[emoji24][emoji24][emoji24] jaman leo sina nguvu kabisa daaahNilikujibu hiviUkanijibu hiviNdio nimeona, kundi la kifo limepatwa na umauti uliotukuka
Asee vijana tuwe makini sana na rangi tunazovaaWanapromote Ushoga Hawa Mbwa
Kuna zile rubber za mkononi huwa na rangi hizo pia.Nimeliona hilo kitambo sana
Leo mmeaga mashindano kizembe sanaDaaaah yaan km vile movie, kumbe ni kweli eti.
Daaaah haaikuwa bahati kwetu, ila nafurahi kundi letu wote tumetoka [emoji23][emoji23][emoji23].Leo mmeaga mashindano kizembe sana
Starehe haijawahi kitu affordable kwa kila mtu..Hv Kuna haja ya kulipia DStv tena ...game zilizobakia n za kuangalia Bar tuu ....wasenge hawa wali block channel 224 kwa sisi watu wa kipato Cha chini ...
Portugal wameshapanda Kimbinyiko kurudi kwao Kibaigwa mkuu..Portugal
Denmak
England
Switzerland
Czech
Alafu kwenye ile 225 wanarusha game ambazo hazina mvuto,zile game zenye amsha hawawezi kabisa.Kwamfano leo,game zote mbili wameziweka 224.Me nimeona ni upgrade tu.Hv Kuna haja ya kulipia DStv tena ...game zilizobakia n za kuangalia Bar tuu ....wasenge hawa wali block channel 224 kwa sisi watu wa kipato Cha chini ...
Umechochora mzeeThings are getting even better..
France out
Portugal out
Next ni England.
Ndo mpira wenyw huoYaan sina hata hamu kabisa, daaaah
Wajinga sn,watakimbiwa na watu sn DstvAlafu kwenye ile 225 wanarusha game ambazo hazina mvuto,zile game zenye amsha hawawezi kabisa.Kwamfano leo,game zote mbili wameziweka 224.Me nimeona ni upgrade tu.
Wote wamezikwa 🤣🤣🤣Hahahahahahahhahaha
Hii Euro inatuvua nguo sana...wanaobet sijui wanapigwa mikwaju kiasi gani.Umechochora mzee
Alaaaaa...