sina jawabuAlaaaaa...
Maguire atafutiwe partner au Lindelof ndo atafutiwe partner?
Foden katupia lini ndugu.Zinchekooooo woooow ...
Mpaka sasa wachezaji wa city ambao wameshatupia magoli hukooo euro
kDB - Belgium
Ferrain Torres -Spain
Sterling- england
Laporte - Spain.
Zincheko - Ukraine
Foden - england
This is our city ..!
rangi za upinde wa mvua (Rainbow colour [emoji304]) kwenye Euro 2020 nani amegundua kitu hapa?
Wazungu wakiamua dah! Yan kumbe wanatetea haki za kishoga bhana!!
- Makepteni wote vitambaa vyao ni rangi hiyo.
- Mabango(LCD) background kuna rangi hizo.
Sterling huyu anayetupia karibu kila mechi, au kuna mwingineSterling ni mzigo kama ilivyo mizigo mingine.
Hahaha beti kinamna kama sisi mkuu..Mikeka sina ham mayo tena, kichefuchefu kitupu.
Na mbuka lile goli la Frank Lampard likikataliwa ndo likawavunja moto kabisa. Hata hivyo hawakufika mbali next round walitolewa na HispaniyaTulitaka tuwapige nne hawa kama walivyo tupiga kule south Africa 2010 sema wana bahati tunawapiga chache tuu
Alichemsha sana pale anapotaka kukusanya kijiji.Hshsga beti kinamna kama sisi mkuu..
Mikeka inaliwa kimasikhara sana.
Hivi kundi F hakuna timu iliyofuzu mkuu??Nilikujibu hiviUkanijibu hiviNdio nimeona, kundi la kifo limepatwa na umauti uliotukuka
Lile goli la Lampard ndio lilisababisha kuanzishwa GLT (Goal Line Technology)Na mbuka lile goli la Frank Lampard likikataliwa ndo likawavunja moto kabisa. Hata hivyo hawakufika mbali next round walitolewa na Hispaniya
Kombe linaenda Denmark mkuu, weka mkeka na Mimi niwekeHili Kombe naona linaenda Spain kabisa , naweka na mkeka kabisa
Aha kumbe lilileta matokeo makubwa tu? Yule refa cjui aliwaza nini kukataa lile goli.Lile goli la Lampard ndio lilisababisha kuanzishwa GLT (Goal Line Technology)
Hehehe kupatwa kwa mkeka mkuu ..pole sana manMasikini mkeka wangu, ngoja nisubiri saa 4 nije nishuhudie tens jinsi Sweden atakavyoliwa kimasiharaView attachment 1834850
Baeleze baeleze Da Numby ..huu mzigo unatua Denmark..Fainali inaweza kuchezwa kati ya switz na denmark. Maana vigogo vinadondoshwa tu so sad.
Hili takataka limekuwaje MoM?