Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kweli ile siyo penati ila Denmark wanatolewa leo!Sio penalt ile bwana
Wamebebwa hakuna tuta la haki paleDuh.. wamepewa.. soft penalty
KabisaTuta la kubebwa
Harry Kane atatuinua muda si mrefu
Sio 1-0 bali ni 2-1Chamdomo wanapata spot kick.....
Gooooooooallllllllll, kakosaaaaa dah ken anafunga kwa rebound.
Chamdomo wanaongoza show sasa 1-0
Mbeleko ya nyumbn hiyoNilisema hahaha
Hahahahahahaahahahahaha kweli bhana. Sasa mi za ya chamdomo kupaki busSio 1-0 bali ni 2-1
ITV OG ya marehemu ni copy and paste#Bado Denmark tunachomoa hii sina wasiwasi.Mkuu, itv ya marehemu?
Tatizo walikuwa wanasubiri matutaDenmark wanavyocheza ni kama vile hawataki kushinda!
Fainali Italy vs England.
Bingwa England.
I agree with uPoorly refereed game. Nye nye nye magazeti yao kesho
Kuna midfield mmoja ya Denmark ametolewa amecheza rafu 4 nimezihesabu Hana hata njano na rafu zote ni ku block counter za England. Zote zilideserve card.Poorly refereed game. Nye nye nye magazeti yao kesho