Mkuu heshima yakoWatasawazisha goli mbili twende extra time.
Nilimwambia muda umeisha kumbe kulikuwa na maajabu nyuma ya paziaKuna mdau kasema watasawazisha, though alikuwa anatania ila imetokea.
Mdomo wangu haukuwa na breki mkuuumeonaaaaaa
Sikuwa natania mkuu dakika za mwisho Spain walikuwa wanajaribu kutunza mpira huku midfielder yao ikiwa nyuma sana kulinda katikakati kulikuwa wazi kabisaaa it was the matter of time.Kuna mdau kasema watasawazisha, though alikuwa anatania ila imetokea.
Mama unakunywa soda gani?Croatia 3rd goal. PasalicView attachment 1833968
Mama unakunywa soda gani?
Bado tupotupo[emoji23]Croatia ahsanteni kwa kushiriki
Wewe ni mchawi.Watasawazisha goli mbili twende extra time.
Mimi mwenye roho nyepesi nilihitimisha kabisa, hahahaaBado tupotupo[emoji23]
UnasemaSjaona wa kuibabaisha spain
Ningefata hili wazo lako ningepiga ela betting😂Watasawazisha goli mbili twende extra time.