Euro Uefa 2016 bila Ronaldo Ingeboa...

w

we ni muongo...copa America toka mashindano hayajaanza bingwa anajulikana ni argentina hajafungwa wala kudroo hata mechi moja... kwenye euro hakuna timu iliyoshinda mechi zote na mpaka sasa hivi ni ngumu kutabiri bingwa...

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€: eti mimi ni muongo!, Argentina kujulikana bingwa ni kwasababu ya ubora wake,currently the 1st in FIFA world rankings!, hao wengine hajulikani bingwa coz wote wabovu!πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
....Ulaya kuna timu mbili tu ambazo naziona zinaweza kusimama na timu ya America Kusini dakika yoyote,GERMANY na SPAIN, nyingine zote average!
 
Kwa hiyo kwako wewe copa america ndiyo bora???

Mashindano yaliyopita final ilikuwa Argentina v Chile, mwaka huu the same, bado unasema kuna ushindani?

Hao wanaoshindana nao wako wapi?

Haya hao chile world cup wanaishia wapi ambao ndo mabingwa wa copa america?
 
....Ulaya kuna timu mbili tu ambazo naziona zinaweza kusimama na timu ya America Kusini dakika yoyote,GERMANY na SPAIN, nyingine zote average!
Timu ya america kusini ni timu gani mkuu?

Hivi hizi timu zinazopigwa goli 5+ ndo unazozizungumzia kuwa zinaweza shindana na Spain na Germany tu. Timu kama Venezuela, Bolivia, Panama, sijui na Haiti na the like ambazo Argentina kajifungia anavyotaka ndo zinaweza shindana na Spain na Germany pekee kule Ulaya????

Utakuwa unatania si bure
 
Kwa hiyo ukibet unakula mpunga!
 
Spain kakuchukua Euro Mara ngapi mfululizo?kombe la dunia aliishia Wapi??kabla ya kutype tafakari kwanza.
 
Kukutana fainal mbili c kigezo cha kuwa mashindano au timu ni mbovu. Kwa sasa kule America kusini timu bora ni Argentina na Chile. Hata fifa world cup ya 1986 na 1990 fainalist walikuwa german na Argentina. Na ndio timu zilizokuwa bora kwa wakati ule kwa dunia.
 
yani...amerika ya kusini ndio mwisho wa matatizo..jiulize...huyu messi...james rodrigues.
..suares...neymar...alves..mascherano..vargas...dimaria...higuan...lavess...marcelo..fillipe luis.hahaa wanatoka ulaya..ramires...hahaa tulia
PIA ZAMANI KUNA WATU KAMA ronaldihno..ronaldo delima...rivaldo...batistuta....ivan zamorano..zanet...ivan crespo..requelme...robhino..kaka...carlos..denilson.cafu..dunga...emerson..diego forlan..rademel falcao...gilberto silver..lucio...elber...gleberson..mario jadel...leornado...wote hawa walitokea amerika ya kusini...sio hao nyanya wenu wa ulaya
 

....halafu game zinaisha 0-0, au 1-0, halafu wanakwambia siku hizi milango migumu haifunguki!, wakati mafundi wa kuifungua hiyo milango wako Amerika Kusini!

..... Tunaangalia watu waliokaririshwa kuchezwa mpira,ndio maana wakiwa kwenye korido wanaenda uwanjani huwa wamenuna!,hawaongei!,wanaogopa material yasije evaporate!
 

....Copa America sio kuna ushindani tu,kuna mapochopocho kibao!
 
kila mtu na maoni yangu, kwangu mimi paul, payet, mudric ndio kila kitu kwenye haya mashindano
 

....Venezuela katolewa robo fainali na Argentina( a suprise package!) huwezi kuilinganisha Venezuela na Austria,Hungary,Iceland,Northern Ireland,Wales na takataka nyingine km hizo!, acha ubishi eroo!
 
Nimesema ni mchango, wakati huo huo nikasema Ronaldo siyo mtu wa kusubiri best loser kuingia Top 16 dhidi ya kina Iceland, Hungary na Austria!
Yaani wewe Ronaldo unam refer kama timu ha ha ha umemuweka kundi moja na Iceland Hungary na Austria?! Duh!
 
Akili mbofu sana hizi, kwa nini hujiulizi messi hajashinda kombe la dunia??

Ha ha ha, umekuja na yale yale ya ukiikosoa serikali basi wewe ni UKAWA, ukimkosoa Diamond basi wewe ni Team Kiba.

Wapi umeona nimemhusisha Messi?

Messi anacheza Euro?
 
Mkuu kwa nini failures za timu anasukumiwa Ronaldo?

....mbona hili ni kawaida!,ukiwa star ibebe ttimu,mbona mwenzie Copa America kila siku anatoa assist na magoli anafunga?, yeye anashindwa nini kuifunga Iceland?!
 
Walishinda?

Mchezaji kama Ronaldo kuingia top 16 as best loser ni aibu!

Kwenye makundi unashindwa hata kushinda mechi moja? Utaweza mitoano? Kwa sababu kwenye mitoano ushindi ni lazima.
Vipi Neymar kule,..kapenya hata makundi...he is a world class player ka kina Messi na Ronaldo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…