Euro Uefa 2016 bila Ronaldo Ingeboa...

....mbona hili ni kawaida!,ukiwa star ibebe ttimu,mbona mwenzie Copa America kila siku anatoa assist na magoli anafunga?, yeye anashindwa nini kuifunga Iceland?!
Mwenzake yupo na wenzake wenye uwezo kama wake,..sio Ka cr7 bana,...!!! Mpeleke Messi Ureno kwa squad hii hii ya ureno na cr7 kwa squad ya Argentina utofauti utauona...
 
Kwa nini timu inapofungwa alaumiwa yeye zaidi?

Yeye ni Captain, yeye ni mchezaji bora, hivyo hivyo anatakiwa kuhakikisha anafanya kila liwezekanalo timu inapata mafanikio. Hope unaelewa maana ya kuwa star wa timu.
Je,hao waliotoka hawana ma captain kama ndio kirahisi rahisi ivyo,..
 
Bet utajirike
 
...hakuna timu iliyochukua kombe la dunia ila ushindani upo zaidi ya EURO 2016!
Nusu fainali,magoli kama Hatua ya kufuzu maana probability ya kukutana na the likes of Taifa staz ni kubwa,..!!
 
Umemwangalia?

Kafanya nini mpaka sasa?
Wewe unalinganisha timu bora za America na timu mbovu za ulaya. Unapotaja Argentina ,Brazil, Chile, Uruguay, Colombia ulaya inabidi utaje Spain, France, Germany, Italy, Belgium nk
 
Vipi Neymar kule,..kapenya hata makundi...he is a world class player ka kina Messi na Ronaldo...
Ww jamaa haufatilii Yale mashindano kwahyo kaa kimya,
Neymar hakucheza hata mechi moja copa America
 
Mwenzake yupo na wenzake wenye uwezo kama wake,..sio Ka cr7 bana,...!!! Mpeleke Messi Ureno kwa squad hii hii ya ureno na cr7 kwa squad ya Argentina utofauti utauona...
Mbona bale yupo na wales na ana shine?
Kwahyo wales wana kikosi kizuri kuliko Portugal?
 
ronaldo kwa messi atasubiria sana..argentina ipo fainal na messi anamabao matano mkononi...ila huyo bishoo anayo mawili tena kwa kuwapiga vibonde
Huwezi fananisha kikosi cha ureno n argentina, Argentina kila idara wana world classic players
 
Vipi Neymar kule,..kapenya hata makundi...he is a world class player ka kina Messi na Ronaldo...

....Neymar hakuwepo kwenye Copa America,wacha kukurupuka!, atacheza Olympic.
 
Mwenzake yupo na wenzake wenye uwezo kama wake,..sio Ka cr7 bana,...!!! Mpeleke Messi Ureno kwa squad hii hii ya ureno na cr7 kwa squad ya Argentina utofauti utauona...

....uwezo kama wake?!, hamna kitu unajua wewe!, umeona 'assist' anazozitoa Messi kwa wenzake?.. hata Mwaikimba atafunga,kama hujui hujui tu!
 
Wewe unalinganisha timu bora za America na timu mbovu za ulaya. Unapotaja Argentina ,Brazil, Chile, Uruguay, Colombia ulaya inabidi utaje Spain, France, Germany, Italy, Belgium nk

....hao Belgium wana ubora gani zaidi ya majina?, majina sio ubora, ndio maana wakapigwa 2-0 na Italy inayo defend tu!!, na hao France wamekutana na Uswiz tu wakatoka ulimi nje, hamna kitu hapo!, and what? Germany!, striker wao Mario Gomez!!!
 
....uwezo kama wake?!, hamna kitu unajua wewe!, umeona 'assist' anazozitoa Messi kwa wenzake?.. hata Mwaikimba atafunga,kama hujui hujui tu!
Kheri yako ujuaye Mkuu",.
Hizo assist kazianzia Golini pekee yake",.._¿!
 
Sema unajivunia German the best team ever wote waliobaki ni makalai, na mwaka huu German tutabeba ndoo na hakuna wa kutuzuia [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
w

we ni muongo...copa America toka mashindano hayajaanza bingwa anajulikana ni argentina hajafungwa wala kudroo hata mechi moja... kwenye euro hakuna timu iliyoshinda mechi zote na mpaka sasa hivi ni ngumu kutabiri bingwa...
Unashindwa hata kutabiri kuwa German ndo bingwa [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…