Euro Uefa 2016 bila Ronaldo Ingeboa...

Euro Uefa 2016 bila Ronaldo Ingeboa...

mambucha

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
279
Reaction score
160
Najiuliza bila huyu mkali wa soka EURO itakuwa na cha kuangalia kweli!?

Cristiano_Ronaldo_2012.jpg


ronaldo_3544239b.jpg
 
Walishinda?

Mchezaji kama Ronaldo kuingia top 16 as best loser ni aibu!

Kwenye makundi unashindwa hata kushinda mechi moja? Utaweza mitoano? Kwa sababu kwenye mitoano ushindi ni lazima.
Yah, Siyo jambo zuri, But ronaldo ni mpiganaji no doubt about that.
 
Jana kafunga magoli mawilli kaasist moja, ana alikuwa mwiba mkali...huo siyo mchango....

Nimesema ni mchango, wakati huo huo nikasema Ronaldo siyo mtu wa kusubiri best loser kuingia Top 16 dhidi ya kina Iceland, Hungary na Austria!
 
ronaldo kwa messi atasubiria sana..argentina ipo fainal na messi anamabao matano mkononi...ila huyo bishoo anayo mawili tena kwa kuwapiga vibonde
 
  • Thanks
Reactions: PNC
....hebu jaribu kutazama Copa America Centenario utasahau huo upuuzi wa Euro; hivi, vitimu kama Northern Ireland ,Wales,Slovakia,Hungary,Portugal (yes i mean it Portugal!),Austria, utaviweka wapi vikikutana na Chile,Colombia,Argentina,Uruguay,Paraguay?!

...Halafu ajabu zaidi,hivyo vitimu vibovu ndio vime-qualify kwa last 16?!, bure kabisa!
 
kwan ronaldo ndio nani mpka euro ikose msisimko??? mbna akina ibrahimovic, lewandolski hawajawika kabsaa kwny euri hii
 
....hebu jaribu kutazama Copa America Centenario utasahau huo upuuzi wa Euro; hivi, vitimu kama Northern Ireland ,Wales,Slovakia,Hungary,Portugal (yes i mean it Portugal!),Austria, utaviweka wapi vikikutana na Chile,Colombia,Argentina,Uruguay,Paraguay?!

...Halafu ajabu zaidi,hivyo vitimu vibovu ndio vime-qualify kwa last 16?!, bure kabisa!
Unavyosema timu mbovu unaangalia jina la nchi o wachezaji o timu inachezaje kwa ujumla.?
 
Ronaldo mbona sijaona kipya alichofanya kwamba bila yeye mashindano yasiwe na mvuto
 
hembu nitajie wachezaji ambao ni bora kwenye haya mashindano...
Bora kiaje yani waliofanya vizuri kwenye haya mashindano au bora duniani waliopo kwenye haya mashindano?
 
Unavyosema timu mbovu unaangalia jina la nchi o wachezaji o timu inachezaje kwa ujumla.?
Na wewe unavyosema mashindano yatakosa mvuto una angalia vigezo gani labda?

Kubali kataa Ronaldo hana jipya kwenye Euro 2016 ..
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom