***Euro2008***

Nziku, lakini hata ule ufundi wao wa mbele hawakuuonesha ipasavyo leo.. wamenikera! Ngoja nimpigie simu rafiki yangu Mreno kumpa pole...

Kweli Mkuu, huyu winga ya kushoto Simao alikuwa na opportunity nyingi ambazo amecheza ovyo. Nadhani Nani angeingia mapema may be angebadili mambo. Ronaldo hajacheza kama mchezaji anayetegemewa, sisemi hajacheza vizuri bali mchango wake ulikuwa mdogo mno.
 
Hivi hizi Kilomita wanazotauandikia ati wachezaji wamekimbia uwanjani wanazipimaje?

Haya ni mambo ya computer mkuu.

Kwanza katika studio kuna software ambayo ni interactive na inakupa mwanya wa kufanya mambo kama measuring hizo distance za mpira na wachezaji wanavokimbia uwanjani.

Pia kuna jamaa wanaitwa Opta Index ndio wanashughulika na mambo kama kuangalia rate za wachezaji na kuona ni yupi kwa mfano anafaa kuwa "man of the match".

Pia kama wewe wapenda tennis waweza kujua kwamba huwa wanaonesha ki-tennis kimesafiri umbali gani toka kilipokuwa served na mmoja wa wachezaji.

Ndio kama hivo yaani.
 
...haya wazee, nyie endeleeni kulalamika, kusikitika, kulaumu, kuomboleza na kukereka lazima mkumbuke Portugal & Spain ndivyo walivyo! hawafiki mbali hawa pamoja na kuwa na individual talented youngsters,

Germany & Italy siku zote zitashinda mashindano kama hayo kutokana na 'uzoefu'!

kesho Croatia Vs Turkey, another facinating piece of 'showmanship' toka kwa hao jamaa wa milimani.

My bet will be on Croats!

am out!
 
..mchongoma, stubbornness ya Turkey is unmatched and unpredictable.... mechi kama hiyo siwezi ku-gamble hata kidogo!! Mechi ninayo isubiri kwa hamu ni Holland vs Russia.... kisha kama waduch wanashinda, basi waduch hao na wajerumani 'wenyewe'!!!
 
Huyu Fereirra mtambo kweli kamuachia balack akatumbukiza cha 3.....

dats why even mourinho alimnunua alipoingia chelsea but never used him dat much...even da first goal alimsindikiza jamaa ka baba anampeleka bintiye kanisani kusema yes i do....
 
Kipa na mabeki wameiua Ureno

yaani mbele wamekazanaaa halafu nyuma wakawa wanaachia tuu! si wajerumani walipooona upenyo wakaamua kupiga bao tatu za faster faster!!
loh poleni sana wareno...their team ilikua nzuri katikati tu but not mbele wala nyuma!
 
..mchongoma, stubbornness ya Turkey is unmatched and unpredictable.... mechi kama hiyo siwezi ku-gamble hata kidogo!! Mechi ninayo isubiri kwa hamu ni Holland vs Russia.... kisha kama waduch wanashinda, basi waduch hao na wajerumani 'wenyewe'!!!

i think if duch wakipita ambayo nayo ni game haitabiriki due to yule chenge wetu wa mpira gus hiddink,watakutana na winner kati ya spain na italy ambayo nayo ni game haitabiriki as we have seen today italy nao watatumia uzoefu wao!germany wanasubiria croatia wapite!!so nshaanza kuona germany na holland fainali
 
Ama kweli mpira ni dakika 90!! Sikuwapa nafasi kabisa Wajerumani wawafunge wareno.
 
Despite how they started I believe Germany and Italy are bound to make a
statement in this tournament...ni mtazamo tu!
 
To be hoest am down!!!!

What a silly peformance from Portugal?, jamaa somo la ''set pieces'' naona waliruka mazoezini, unajua kufungwa bao mbili from the same angle katika michuano mikubwa kama hii ni udhaifu mkubwa sana.

Poor defending!!!, nilikuwa nawapenda Portugal kutokana na ukweli kwamba kuna ladha flani katika soka yao, then kuna Spain na Holland.

Nahamia Holland, wakitolewa na hao nabakia kuwa ''international obsever''.
 

hahaha nimeipenda kauli yako ila ukiwa shabiki wa soka hutakiwi kuwa na hasira..kwa kweli Germany wameonesha uzoefu wao kama mdau m1 alivyosema germany na italy huwa zinabadilika mda unavyokwenda natagemea maajabu pia kwa Italy
 
Jamani nilishasema usiombe kukutana na ITALY & GERMANY kwenye round kama hizi ni bora ukutane nao kwenye makundi
Nawaonea huruma sana SPAIN kwani na wao safari imewadia
 
Jamani nilishasema usiombe kukutana na ITALY & GERMANY kwenye round kama hizi ni bora ukutane nao kwenye makundi
Nawaonea huruma sana SPAIN kwani na wao safari imewadia
Hapa inaonyesha waliokuwa kwenye magurupu watakutana tena I mean Germany vs Croatia na
Holland vs Italy!sasa hapo ndo balaa!Jana nilikuwa desparate sana wareno walivyotolewa!nikakumbuka World cup 2006!Tusishangae Italy akachukua kombe na kuweka historia kama walivyofanya France 1998,2000.Any way hayo ni mawazo yangu tu.kitu tofauti na haya pia chaweza kutokea as mpira unadunda!
 

yan they proved kwamba still sio timu nzuri esp nyuma...as in de grp stage hawakukutana na timu ngumu kwanza at least holland washapita italy,france so wana uzoefu now lakini hawa madogo walikutana na timu mchekea...watu wakaaanza kuimba ronaldo ronaldo.....am a united fan but to hell wit ronaldo i hate it kwa kweli timu ya watu 23 inapokua kama ya mtu mmoja!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…