Iyo kupwa kujaa kwann isitokee miaka ya nyumaNawashangaa sana mashabiki wa Man u saivi wanavochukulia kama wana timu bora,hakuna timu pale ni nyakati tu za maji kujaa maji kupwaa ila msijipe moyo kuwa mna timu bora
Iyo kupwa kujaa kwann isitokee miaka ya nyuma
Jishangae wewe mwenyewe jinsi unavyoteseka na sisiNawashangaa sana mashabiki wa Man u saivi wanavochukulia kama wana timu bora,hakuna timu pale ni nyakati tu za maji kujaa maji kupwaa ila msijipe moyo kuwa mna timu bora
We' una chuki na MANUTD tu!Mkuu niamini hakuna timu palee,sema waingereza kwa maneno mengi na promo ya mdomoni ndio wako vizuri ila miaka mingi ulaya inatawaliwa na vilabu vya spain, Chukulia mfano rahisi ndani ya miaka kumi Uefa na Europa vilabu gani vimechukua mara nyingi halafu ndio uje uongee
Sasa sielewi hoja ipo wapi,kwan arsenal kachukua mara ngapi iyo europa na uefa ndani ya miaka kumi.??man u kachkua fa na europa,arsenal ambayo ndo nzuri je??kwa sasa man u ipo within makombe manne,arsenal je???Mkuu niamini hakuna timu palee,sema waingereza kwa maneno mengi na promo ya mdomoni ndio wako vizuri ila miaka mingi ulaya inatawaliwa na vilabu vya spain, Chukulia mfano rahisi ndani ya miaka kumi Uefa na Europa vilabu gani vimechukua mara nyingi halafu ndio uje uongee
Man city kachukua mara ngap uefa na europa??Mkuu niamini hakuna timu palee,sema waingereza kwa maneno mengi na promo ya mdomoni ndio wako vizuri ila miaka mingi ulaya inatawaliwa na vilabu vya spain, Chukulia mfano rahisi ndani ya miaka kumi Uefa na Europa vilabu gani vimechukua mara nyingi halafu ndio uje uongee
Unaikosea Sana heshima Arsenal, Arsenal hii ya kupress ,overload and possession huo wakati mgumu upi itaupata Europa?Arsenal ana wakati mgumu sana, Man Utd wana nafasi kubwa ya kutoboa ...
Man u ile timu bado mbona ukweli upo wazi, tofautishen kupata matokeo na timu kuimarika kiushindanIyo kupwa kujaa kwann isitokee miaka ya nyuma
Mlishinda hivi hivi mkadanganyana mnautaka ubingwa ,mkaenda Emirates mkafanywa muonekane timu ya kawaida SanaSasa sielewi hoja ipo wapi,kwan arsenal kachukua mara ngapi iyo europa na uefa ndani ya miaka kumi.??man u kachkua fa na europa,arsenal ambayo ndo nzuri je??kwa sasa man u ipo within makombe manne,arsenal je???
Ubora wa tim unapimwa na nini labda?Mlishinda hivi hivi mkadanganyana mnautaka ubingwa ,mkaenda Emirates mkafanywa muonekane timu ya kawaida Sana