Tusubiri tuone! Mbona huko Yemen na kwingineko ndio wao wanapiganisha vita na kusababisha mauaji makubwa kila uchao ? Jana tu Spain imeamua kuendelea kuuzia nchi za kiarabu zinazo iaangamiza Yemen guided missiles ! Ee mungu tunusuru na wazungu hawa wasilete vita Uganda ![/QUOTE vita ni fursa ya kibiashara kwa MATAJIRI
Pumbavu zao, wanataka kuja kuivuruga uganda na eneo zima la afrika mashariki kwa kisingizio cha demokrasia wakati wanalenga maslahi ya kisiasa na kiuchumi, laana ya ushoga inawatafuna
Kwanini haupo objective mkuu? Kuna wakati hata saa mbovu husema ukweli hivyo hutakiwi kuipuuza kabisa yaani ingawa baniani ni mbaya ila sometime kiatu chake huwa dawa, je utaacha kuitumia kisa tu humpendi baniani? Sawa wazungu wametufanyia mabaya mengi ila je katika hili hawapo sahihi?Sikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
hao waganda watachemka mara ngapi ?.kila wakichemka jamaa anatumia madara yake vibaya ,wewe unafurahi kuumizwa kwa bob wineSikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
Unasubiri nini kwenda kumtoa museven, unasubiri hao mabwana zako mnaofanya nao ushoga ndo waje kupandikiza ufirauni wao hapo uganda. fala kabisaWewe ndio pumbaf..!!
Hivi kuna mtu aliyewahi kuivuruga Uganda kama Idd Amin Dada(rip) mpaka Serikali ya Baba wa Taifa ikaingilia kati kwenda kumtoa Nduli Idd Amin? Baada ya Nduli kuondolewa na JWTZ ndipo Tanzania ikamsaidia Obote kurudi lakini naye akaanza kulipiza kisasi kuwaua kabila ya Idd Amin na ili kuepusha hali hiyo Tanzania hiihii ikamsaidia Museveni aliyekuwa anasoma UDSM ili kumwondoa Obote na kukalia kiti Ikulu....!!
Leo Watanzania tunamwona M-7 kama malaika kwa madudu anayowafanyia Waganda...mbona hatufanyi kama tulivyofanya kwa Amin na Obote??? Tuache unafiki..!! Kwa vile Tanzania tumeshindwa kumkemea M-7 kwa upuuzi anaowafanyia Waganda, acha tukae pembeni ili Jumuia za Mataifa mengine zimshughulikie M-7 kama tu tulivyowashughulikia Idd Amin na Obote...!!!
Unasubiri nini kwenda kumtoa museven, unasubiri hao mabwana zako mnaofanya nao ushoga ndo waje kupandikiza ufirauni wao hapo uganda. fala kabisa
Unafiki wa viongozi wengi wa kiafrika kutegemea wazungu kutatua shida zetu ndo kimetufikisha hapa. Afrika ilitakiwa iwe na taasisi zake ikiwemo jeshi kutatua migogoro inayotuhusu, badala yake hiyo mishoga inatumia huu udhaifu kwa ajili ya maslahi yao ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.Acha maswali ya kichizi.wewe....!!
Kama Idd Amin na Milton Obote waliondolewa na JWTZ kwanini humwambii JPM akapeleka JWTZ ikamwondoe Museveni?Muda wa M-7 unahesabika kwa unyama anaowatendea Waganda likewise na muda wa CCM na Magu una hesabika kwa yale wanayo watendea Watz....muda ni shahidi mzuri sana...!!Tusubiri.