European Union and Red cross bus made in Kenya

European Union and Red cross bus made in Kenya

nairobae

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2017
Posts
6,602
Reaction score
9,027
The European Union and Red cross bus for the youth is now complete. The bus was made by Kenyan Youth.
GO KENYA GO

33396420_10209226589220076_4527121170385862656_o.jpg
33432196_10209226590060097_4880223840677920768_o.jpg
33402328_10209226584939969_1972009748349845504_o.jpg
33491846_10209226585979995_3180942673083105280_o.jpg
33380512_10209226586980020_1442581911594598400_o.jpg
33366469_10209226587820041_2659613680064266240_o.jpg
 
Wow dude linatisha
Muonekano mzuri na hata rangi
Hiyo design nzuri ila designer nimkosoe kidogo tu kwenye seats angebadilisha hiyo ya kizamani wakabuni kind of sport seats zingependeza zaidi

Hongereni sana
 
ISUZU?
Does ISUZU belongs to nyang'aus?
You plagiarists as usual,
 
ISUZU?
Does ISUZU belongs to nyang'aus?
You plagiarists as usual,
Punguza povu na wivu, Isuzu wakona a full assembly plant ya kutengeneza magari Nairobi. Kama hujui maana ya made enda uliza mwalimu wako.
 
Hii sekta bado hamtoshi, ndio kwa maana hadi wa leo bado clients wenu wanakuja Kenya kuundiwa mabasi. Hahahaha bado munafabricate magari kwa kiwanja.

33651429_944592479045697_5196337732925784064_o.jpg
31506459_1610788432371461_6587512579659137024_n.jpg
32263120_1622349307882040_2036913881082757120_n.jpg
31682247_1611293695654268_2313899599061843968_o.jpg
17505094_1276274952409256_6986105936210199421_o.jpg
29793089_10210633820114042_5743916183078305792_n.jpg
18620130_1851493931837909_7758876582352293479_n.jpg
15977630_1208925745844014_7493595355474434408_n.jpg
Kwenye mabasi hamuwezi ifikia Tanzania. Pili hiyo benz haijatengenezewa Kenya
 
Kwenye mabasi hamuwezi ifikia Tanzania. Pili hiyo benz haijatengenezewa Kenya
Mimi ni Mtanzania lakini kwenye bus fabrication hatuwezi wafikia Kenya,hiyo bus imeundwa Kenya,chases ya benz bodi ya kutengenezwa/ kuundwa Kenya.
 
Mpiga rangi hajui kupiga rangi kabisaa,.a sisi tz tunatumia 2 by 2 viti vizuri kama ndege ya ardhini.
Watani viti hivyo TZ tumekoma kutumia,sisi viti vya kulala na charge unapata.
 
Punguza povu na wivu, Isuzu wakona a full assembly plant ya kutengeneza magari Nairobi. Kama hujui maana ya made enda uliza mwalimu wako.
If so!! Kwanini mnasema wakenya ndio wametengeneza?
Kwanini msiseme Isuzu wametengeneza hilo basi?
 
Siku wakiunda kitu kama hiki sio yale madude kama ya Pandora[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Au Malori aina ya canter na Isuzu yaliyobadilishwa sura na kuwa kama Nebula MNITAG.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom