Tetesi: EuroWagon Kuishtaki TRC Kwa Kuivunjia Mkataba wa Kuleta Vichwa Na Mabahewa ya Treni ya SGR. Je Nchi Kuingia Hasara ya Kulipa Mabilioni Mengine?

Tetesi: EuroWagon Kuishtaki TRC Kwa Kuivunjia Mkataba wa Kuleta Vichwa Na Mabahewa ya Treni ya SGR. Je Nchi Kuingia Hasara ya Kulipa Mabilioni Mengine?

Wakati mwingine hao wazungu kiburi chao kinaanzia hapa ndani kupitia wenzetu wasiowazalendo. Hili Taifa tulipaswa idara zetu zikigundua wapi boti inavuja aliyetoboa wapite nae hata tusijue.

Sasa corrupt system inaweza kutumia huo wmwanya kupita na wasio hatia kwa visasi.
Bado naungana na Yeriko kwenye ujasusi wa kiuchumi na cdf kwamba tumeteua wakimbizi kwenye nafasi za maamuzi kwahiyo mambo mengine wanaamua kwa maslahi ya nchi zao! Vetting ya sasa imejaa siasa tupu na uhamiaji na TISS inahangaika na wakosoaji wa ccm. Hao hooligans wanatumia mwanya wa chama kuji-camouflage kwa sababu wanajua ukiwa ccm hauguswi na yeyote na unalamba teuzi provided unasifia kila kitu na kuuponda opposition. Cdf was right and Yeriko was far more right! Kila kitu mwanzoni utakiona kizuri kikishakula Fedha za umma mambo yanaharibika
 
Hii style ya kuingia mkataba na kuvunja mkataba ovyo ni ka new style ka kutafuta ugali wa kila siku eti????? Behind this burden kuna majamaa yanagonga cheers
 
Haya mambo yanaitafuna sana hii nchi... hao wanaosaini mikataba wawe wanajitafakari kabla ya kufanya maamuzi
 
Alikuwa msanii tu maana hao wanasheria alikuwa anawateua yeye
Mfano;
Babako akikupa biashara usimamie na baadaye ukachemka je, anapaswa akwambie au akae kimya kisa ni babako ndiye mwenye biashara?.
 
Tangu lini sheria ya manunuzi ya umma ikaruhusu kununua vitu mtumba, hapo tu tayari ni kipengele.......au ndo matokeo haya ya wahamiaji kukaa kwenye nafasi za maamuzi.​
 
Tai
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa. Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

View: https://www.instagram.com/p/C2fLTiVIdG5/?igsh=MWV4ZnI1eDVuNTljYg==

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

View: https://www.instagram.com/p/C2ekP3utaJF/?igsh=NGgwZTFzMmJjdXV1

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.

Taifa la kikuma sana hili
 
Bundi anaendelea kuisakama Nchi linapokuja swala la mikataba ya Kimataifa. Saizi ni Zamu ya TRC na kampuni ya EuroWago.

Kampuni ya Euro Wagon ya Germany imeingia kwenye mzozo na TRC Kufuatia sakata la mabehewa na vichwa vya treni kutofikishwa Kwa wakati kulingana na mkataba ambao TRC na EuroWagon walisainiana mwaka 2020.

EuroWagon wanadai walipwe fidia Kwa kuvunjiwa mkataba wakati tayari walishanunua mabehewa na vichwa vya treni pamoja na gharama zingine za urekebishaji.TRC walivunja mkataba na kampuni hiyo Kwa kuchelewesha delivery.

EuroWagon wanasema wasipofikia muafaka na TRC Hadi January hii watalazimika kuchukua hatua zingine za kisheria.

View: https://www.instagram.com/p/C2fLTiVIdG5/?igsh=MWV4ZnI1eDVuNTljYg==

Swali.
Napenda kufahamu,Je wanasheria Wetu Huwa hawawezi kujua potential risks kabla ya maamuzi yeyote ikiwemo Kuvunja mkataba au kusaini contract bila kuwa na vipengele vya kujiondoa Wakiwa salama?

View: https://www.instagram.com/p/C2ekP3utaJF/?igsh=NGgwZTFzMmJjdXV1

My Take
Tumechoka kulipa mabilioni ya Kodi zetu Kwa uzembe wa watu wasiowajibika,hatua zinaze kuchukuliwa.

Viongozi wanatuzunguuka, wanataka wale na hiyo kampuni ili wawe na pesa za kuwawezesha nao kuingia ubia kwenye SGR wakiwa na treni zao.
 
Back
Top Bottom