Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
Price yake ipoje.??Price and good marketing wakati wa nyuma.
Imenifanya nihesabu lodge na hoteli nilizolala, kweli nimezurura duniani.Nadhani wengi wetu hasa sisi wazee wa mihangaiko(kuzurura) tutakua tumekutana naye sana huyu bidada EVA kwny Lodge nyingi tulizopita.
Mimi binafsi nmepita kwny Lodge zaidi ya 100 lakini Lodge ambazo nmepita bila ya kukutana na sabuni hii maarufu ya EVA hazizidi kumi(10)..
Eti wadau ni nini sababu ya sabuni hii kupendwa na kutumika zaidi na Lodge nyingi nchini kuliko inavotumika majumbani tujuzane hapa...View attachment 2907775
Nilikuwa nasubiri comments za hovyo kama hiiKupigia nyeto
[emoji23]haya hesabu tena kwny hzo 110 ni mara ngapi ulilala mwenyeweImenifanya nihesabu lodge na hoteli nilizolala, kweli nimezurura duniani.
110???
99%[emoji23]haya hesabu tena kwny hzo 110 ni mara ngapi ulilala mwenyewe
Hongera km kwelii[emoji122]
Mkuu sasa ugenini utapata wapi wa kulala naye?Hongera km kwelii[emoji122]
Hizo walitengeneza kama Disposable Products. Yaani ukishatumia mara moja basi hutumii tena kwa mtu mwingine.Eti wadau ni nini sababu ya sabuni hii kupendwa na kutumika zaidi na Lodge nyingi nchini kuliko inavotumika majumbani
Ufafanuzi makini sanaa,, hv zinatengenezwa hapahapa Bongo au.??Hizo walitengeneza kama Disposable Products. Yaani ukishatumia mara moja basi hutumii tena kwa mtu mwingine.
Package yake ni NDOGO, hivyo inafaa kwa matumizi ya mtu mmoja na akitumia. Na vile vile ina harufu isiyo kera.
Lodge huwezi kuweka SABUNI KUBWA ambayo mteja atatumia ikabaki, hio ni hasara. MAJUMBANI huwezi weka sabuni ndogo kwa kuwa sababu ya nyumbani watu wana share.
Uko sahihi mkuuHizo walitengeneza kama Disposable Products. Yaani ukishatumia mara moja basi hutumii tena kwa mtu mwingine.
Package yake ni NDOGO, hivyo inafaa kwa matumizi ya mtu mmoja na akitumia. Na vile vile ina harufu isiyo kera.
Lodge huwezi kuweka SABUNI KUBWA ambayo mteja atatumia ikabaki, hio ni hasara. MAJUMBANI huwezi weka sabuni ndogo kwa kuwa sababu ya nyumbani watu wana share.
[emoji23][emoji23]wakunga tenaUko sahihi mkuu
( Mpasuaji wa Manesi ) endelea kuwapasua manesi na usiwasahau na wakunga[emoji23]
Kipotabo!Nadhani wengi wetu hasa sisi wazee wa mihangaiko(kuzurura) tutakua tumekutana naye sana huyu bidada EVA kwny Lodge nyingi tulizopita.
Mimi binafsi nmepita kwny Lodge zaidi ya 100 lakini Lodge ambazo nmepita bila ya kukutana na sabuni hii maarufu ya EVA hazizidi kumi(10)..
Eti wadau ni nini sababu ya sabuni hii kupendwa na kutumika zaidi na Lodge nyingi nchini kuliko inavotumika majumbani tujuzane hapa...View attachment 2907775
sabuni ya dhambi hiyo, ni kumbukumbu ya dhambi kwa wengi sana hata wakilikuta hilo ganda barabarani.Nadhani wengi wetu hasa sisi wazee wa mihangaiko(kuzurura) tutakua tumekutana naye sana huyu bidada EVA kwny Lodge nyingi tulizopita.
Mimi binafsi nmepita kwny Lodge zaidi ya 100 lakini Lodge ambazo nmepita bila ya kukutana na sabuni hii maarufu ya EVA hazizidi kumi(10)..
Eti wadau ni nini sababu ya sabuni hii kupendwa na kutumika zaidi na Lodge nyingi nchini kuliko inavotumika majumbani tujuzane hapa...View attachment 2907775
[emoji23]mzee inaonekana ww Lodge unaendagq kufanya dhambi tu si vinginevyosabuni ya dhambi hiyo, ni kumbukumbu ya dhambi kwa wengi sana hata wakilikuta hilo ganda barabarani.