Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
- #21
Hv znauzwaga wapi, mana kwny maduka ya mtaani ni ngumu kuzipata hzo..Kipotabo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv znauzwaga wapi, mana kwny maduka ya mtaani ni ngumu kuzipata hzo..Kipotabo!
Kuna maji maji ya kuogea saiv yanaitwa shower gellyNadhani wengi wetu hasa sisi wazee wa mihangaiko (kuzurura) tutakua tumekutana naye sana huyu bidada EVA kwny Lodge nyingi tulizopita.
Mimi binafsi nmepita kwny Lodge zaidi ya 100 lakini Lodge ambazo nmepita bila ya kukutana na sabuni hii maarufu ya EVA hazizidi kumi(10).
Eti wadau ni nini sababu ya sabuni hii kupendwa na kutumika zaidi na Lodge nyingi nchini kuliko inavotumika majumbani tujuzane hapa.
View attachment 2907775
Na yenyewe yanapatikana sana kwny Lodge au.?Kuna maji maji ya kuogea saiv yanaitwa shower gelly
Ni km bei gan inakua
Ndio maana vijana wanafeli mitihani.Ikiwa wazee nao wanajibu wasichoulizwa vijana watakuwa na hali gani?