Evans Kisanko ameibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais wa DAR ES SALAAM UNIVERSITY STUDENTS ORGANIZATION (DARUSO) baada ya kuwashinda kwa kura wagombea YASINI ATHUMANI, EGIDY MKOLWE, tunategemea makubwa kutok kwa kijana huyu ambae wengine walimbeza kwa udogo wa mwili wake, lakini ss tunaamini ktk akili yake na si mwili.KISANKO isafishe DARUSO kwani ina uozo mkubwa ,Mungu ibariki UDSM
kila la kheri ila system imekua mbaya sana nasikia eti akuna tena revolution square wala nini poleni wadogo zangu cha msingi pigeni kitabu
Ni mtoto wa mkulima kama Mzee Pinda au? Asijekuwa ni wale wanaolia matatizo yanapotokea!
Ni kweli Tusibilege Benjamin Ndio Vice wa UD??
HONGERA KWA VICE PRESIDENT PIA DADA YETU
TUSUBUREGE BENJAMINI.
Kisanko kapata model wakumsaidia majukumu Wa ukweee..
##free thinker