Evarist Chahali, hili limenitisha!

Evarist Chahali, hili limenitisha!

Nimeifuatilia kwa zaidi ya lisaa na nimefurahishwa na mtanange wa mtata Kiranga na Dr. Chahali 'afisa wa kitengo mstaafu'
Mtifuano kama huo ndo unafaa kwa watu wenye mtazamo tofauti
 
Wandugu mwenye kujua kinapopatikana kitabu cha Chahali na kile cha Yerico Nyerere naomba contact
 
Kama mambo haya yanayofanyika hapa nchini yamevuka mipaka kiasi hiki, watanzania tuliomo humu ndani na ambao tunapenda kumkosoa mfalme, tuchukue tahadhari kubwa sana.
 
ATTENTION SEEKER AT WORK.

Kitu cha ajabu hata mleta mada hamfahamu huyu jamaa. achilia mbali watanzania wengine wa kawaida.

Humu duniani ogopa sana hii kitu inayoitwa spinning. Huyu jamaa sitashangaa kama anatengeneza mazingira ya kutaka kuuza makala zake 'mahili' za kisiasa.

Haitakuwa ajabu kama hatawaokota wengi ambao ni matajiri wa fikra finyu.

Kama walioko ground zero wanatembeza siasa ambazo mpaka serikali inakuna kichwa na bado wako huru kutembea mitaani na kunywa kahawa kwenye vijiwe. Yeye huyu jamaa amefanya nini mpaka serikali ipoteze pesa kwa ajiri ya gharama za Convert operation.

Kwa mawazo kama hayai, basi hitimisho ni kila mtanzania maisa yake yako hatarini.
Hii ilikua tengeneza stori ya kuombea ukimbizi. Watanzania wajanja wakitaka kuomba ukimbizi kama wabongo wanatumia njia hii ama siyo wanajiita warundi ama wasomali. Hii ni stori ya Chahali ya kujilipua UK
 
Ingekuwa vema raslimalizinazotumika kufanikisha mpango huo zikaelekezwa kwenye uchunguzi wa mabilioniya fedha za Watanzania yaliyofichwa kwenye mabenki nchini Uswisi huku nchi yetuikikabiliwa na deni kubwa la ndani na nje la zaidi ya shilingi trilioni 30!

Hivi JP mpaka sasa Pesa Uswisi ameshindwa kuzirudisha?
 
Back
Top Bottom