bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Ni mda sasa Bibie Evelyn Salt amekuwa banned kutotumia jamiiforum ni yapata miezi sasa. Kwani kafanya kosa gani mpaka apewe bann ya mda mrefu kiasi hiki?!
Tukumbuke Evelyn Salt ni moja kati ya watu wakongwe sana humu jamvini nikiwepo nami pia. Toka 2009/10-12 tumekuwa humu, ni mcheshi sana, mrembo haswaa, kutokuwepo active ni pigo hasa kwetu sisi wadau tunaomfahamu.
Hivi Moderator mwaweza tusaidia kwa kutuambia alifanya kosa gani?
Tukumbuke Evelyn Salt ni moja kati ya watu wakongwe sana humu jamvini nikiwepo nami pia. Toka 2009/10-12 tumekuwa humu, ni mcheshi sana, mrembo haswaa, kutokuwepo active ni pigo hasa kwetu sisi wadau tunaomfahamu.
Hivi Moderator mwaweza tusaidia kwa kutuambia alifanya kosa gani?