Evely Salt Amepatwa Na Nini?

Evely Salt Amepatwa Na Nini?

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,699
Reaction score
4,117
Ni mda sasa Bibie Evelyn Salt amekuwa banned kutotumia jamiiforum ni yapata miezi sasa. Kwani kafanya kosa gani mpaka apewe bann ya mda mrefu kiasi hiki?!

Tukumbuke Evelyn Salt ni moja kati ya watu wakongwe sana humu jamvini nikiwepo nami pia. Toka 2009/10-12 tumekuwa humu, ni mcheshi sana, mrembo haswaa, kutokuwepo active ni pigo hasa kwetu sisi wadau tunaomfahamu.

Hivi Moderator mwaweza tusaidia kwa kutuambia alifanya kosa gani?


Screenshot_20190820-154604.jpeg
 
Last time nilipishana nae pale BOT akienda kuchange Dollar mara ya mwisho nilimwona Heathrow Airport akichange ndege akienda State, na mm nikisubiri ndege za kuunganisha kuelekea Ufaransa, nafikiri atakuwa amebanwa na majukumu ya hapa na pale infact anafanya kazi ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje....

Yaaah!!!! Ngoja niendelee kuota..
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jambazi wa kike?
Last time nilipishana nae pale BOT akienda kuchange Dollar mara ya mwisho nilimwona Heathrow Airport akichange ndege akienda State, na mm nikisubiri ndege za kuunganisha kuelekea Ufaransa, nafikiri atakuwa amebanwa na majukumu ya hapa na pale infact anafanya kazi ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje....

Yaaah!!!! Ngoja niendelee kuota..
 
Back
Top Bottom