babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Hii umeandika wewe.Unadharau kazi na huenda huna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umeandika wewe.Unadharau kazi na huenda huna
Kunazo kazi nyingi ulaya ila wewe unaona kazi za ngazi za chini manake umezizoea. Usilolijua ni kuwa Kenya ni 'ulaya' ya Tz 😂🤣🤣Hii umeandika wewe.
Na huu msaada mnapewa kwanini?Wacha kuchekesha wewe, ni nchi gani ambayo uchumi wake upo na mizizi mirefu katika ukanda huu, uchumi wa Tanzania umebebwa na:
1) Kilimo, Uvuvi na Ufugaji: Tanzania ndiyo nchi pekee yenye ardhi kubwa na yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, Tanzania ndiyo nchi yenye ukanda mkubwa wa bahari ya Hindi, na Maziwa matatu makubwa kwa ajili ya Uvuvi, Tanzania ndiyo nchi yenye mifugo mingi nyuma ya Ethiopia.
2) Utalii, katika hili sina sababu ya kuelezea uimara wa utalii wa Tanzania
3) Madini, hapa sihitaji kusema lolote, nadhani unajua kuhusu wingi wa madini Tanzania.
4)Natural gas; Unafahamu wingi wa gesi iliyopo Tanzania.
5) Uzalishaji wa viwandani: Ninadhani unaona ni kiasi gani bidhaa za viwandani za Tanzania zinavyosambaa katika nchi Jirani, kuanzia bidhaa za Azam, Mo, na bidhaa zingine.
6) Usafirishaji; Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi, na Zimbabwe, hutegemea sector ya Usafirisha wa Tanzania kwa zaidi ya 8O% ya bidhaa zao.
Tafadhali taja uchumi wa Kenya umeshikiliwa na "Sectors"zipi ambazo ni strong zaidi ya " Remittances?"
Bajeti ya kenya ni kubwa babazNa huu msaada mnapewa kwanini?
Tanzania Receives $2.4M From the US -
Tuko na hela za ndani mbona tupewe msaada na Mabeberu?Bajeti ya kenya ni kubwa babaz
Bajeti yetu kila mwaka haiwezi kulinganishwa na yaTz. Hilo kila mtu yuajua. Kwa hivyo hata tuwe na pesa kwa wingi jinsi gani, hizo za nje lazima ziwepo. Nchi zote zilizoendelea huwa hivyo....tazama debts za mataifa yaliyokuwa utafaham zaidTuko na hela za ndani mbona tupewe msaada na Mabeberu?
Hizo 2.4m$ nani huwapa...wafrika??Tuko na hela za ndani mbona tupewe msaada na Mabeberu?
Malizeni kwanza Corona loan na locust loanWhat is Tanzania's projected growth amidst this pandemic? Nchi mingi zinaeka wazi expected economic performance., nipe ya LDC kaka., nyie mnaeza poromoka kwasababu uchumi wenyu hauna mizizi dhabiti., revenue in relation na mahitaji yenyu wakati wakawaida imekua haitoshi, sasa leo hii mtakua vipi?