Even after loans amounting to $2 bln, CBK Governor projects a tough economic prospects for the 2nd quarter

Na huu msaada mnapewa kwanini?
Tanzania Receives $2.4M From the US -
 
Tuko na hela za ndani mbona tupewe msaada na Mabeberu?
Bajeti yetu kila mwaka haiwezi kulinganishwa na yaTz. Hilo kila mtu yuajua. Kwa hivyo hata tuwe na pesa kwa wingi jinsi gani, hizo za nje lazima ziwepo. Nchi zote zilizoendelea huwa hivyo....tazama debts za mataifa yaliyokuwa utafaham zaid
 
Malizeni kwanza Corona loan na locust loan

Tz ipo stable ndio sababu hatukuhutaji mkopo wa Corona

Hakikisheni maji yanapatikana Nairobi na mmalizane na Kipindupindu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…