Even Prof. Ndalichako is far better than Samia

Bila Ahadi Ya Mwana Tanu
Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko
 
Nje ya mada kidogo jaman, mwenzenu mwili unanitetemeka hapa kana kwamba nina homa, yani mim ni wakuuzia vocha ya buku kwa buku na mia mbili kweli? Imeniuma sana,
 
Samia kaachwa mbali kiuongozi na Angelina Mabula yaani anaweza kuchambua hoja ikaeleweka lakini mwenzeni huyo yaani hata haeleweki
Jamani acheni masihara. Msimfananishe mama na mtu aliyeshindwa wizara
 
Ushamsikia Prof Ndalichako akiongea kiingereza?
Katafute youtube afu tutaanzia hapo
 
Natabiri uwaziri Mkuu Prof Ndalichako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…