Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Kutakuwa na Nyama Choma katika viwanja vya Posta Kijitonyama Jumamosi Tar 16 November 2013, tukio hili litaenda sambamba na muziki, michezo ya watoto, vinywaji, michezo kama pool pia itakuwepo.
Kuna mabanda zaidi ya 15 ya nyama, bia na vinywaji aina zote (Bia local na imported, hard drinks, soda, juice, maji nk).
Michezo ya watoto yoote.
Inaanza mchana saa sita mpaka majogoo, ila watoto mwisho ni saa 12 jioni. Ni tukio kubwa kwa weekend hiyo, tusikose.
Kuna mabanda zaidi ya 15 ya nyama, bia na vinywaji aina zote (Bia local na imported, hard drinks, soda, juice, maji nk).
Michezo ya watoto yoote.
Inaanza mchana saa sita mpaka majogoo, ila watoto mwisho ni saa 12 jioni. Ni tukio kubwa kwa weekend hiyo, tusikose.