Inaonyesha Jamaa anamchukia Sana yule msemaji wa msimbazi ndio maana anaonyesha chuki wazi wazi.
We ota tu ndoto za jioni-Kuna uwezekano klabu ya Eveton ikacheza na klabu ya Simba badala ya bingwa wa mchuano ya Sportpesa Super Cup 2019 kutokana na timu zote ambazo zimeingia Fainal hazidhaminiwi na kampuni hilo. Bandari, Kariobangi Sharks na Mbao zilikuwa timu mwalikwa kwenye michuano hiyo. Huku timu tano Simba, Yanga, Singida kutoka Tanzania, Gor Mahia na AFC Leopards kutoka Kenya ndio vilabu ambavyo zinadhaminiwa na Sportpesa.
Simba hastahili hata kucheza na Kauzu Fc.-Kuna uwezekano klabu ya Eveton ikacheza na klabu ya Simba badala ya bingwa wa mchuano ya Sportpesa Super Cup 2019 kutokana na timu zote ambazo zimeingia Fainal hazidhaminiwi na kampuni hilo. Bandari, Kariobangi Sharks na Mbao zilikuwa timu mwalikwa kwenye michuano hiyo. Huku timu tano Simba, Yanga, Singida kutoka Tanzania, Gor Mahia na AFC Leopards kutoka Kenya ndio vilabu ambavyo zinadhaminiwa na Sportpesa.
akili ya Mikia FC.-Kuna uwezekano klabu ya Eveton ikacheza na klabu ya Simba badala ya bingwa wa mchuano ya Sportpesa Super Cup 2019 kutokana na timu zote ambazo zimeingia Fainal hazidhaminiwi na kampuni hilo. Bandari, Kariobangi Sharks na Mbao zilikuwa timu mwalikwa kwenye michuano hiyo. Huku timu tano Simba, Yanga, Singida kutoka Tanzania, Gor Mahia na AFC Leopards kutoka Kenya ndio vilabu ambavyo zinadhaminiwa na Sportpesa.