squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Pia simba tukumbuke Rage hakukurupuka, samata akienda huko na Simba inapata gawio lake safiiiiiii.Kila la heri Mwanamsimbazi Mwenzangu.
Labda.Ukute Richardson atauzwa
Ni kweli Mkuu.. Na hii ni faida ya kua na viongozi makini.Pia simba tukumbuke Rage hakukurupuka, samata akienda huko na Simba inapata gawio lake safiiiiiii.
Zubutuu icho kitu hakipo kwenye mkataba wa kuama kutoka Genk kwenda timu nyinginePia simba tukumbuke Rage hakukurupuka, samata akienda huko na Simba inapata gawio lake safiiiiiii.
Haaaa jamaa atajuta kuanzisha ule uziYule jamaa sasa hivi anapiga ramli habari mbaya sana hii kwake[emoji2] [emoji2]
aende ufaransa KWANZA, umri unamsubiri tu. Hapa ni kujilipua tu wakimtaka England aende. He's not a shot caller anyhow!Simshauri aende England ile ligi wanatumia mabasi sana angeenda ufaransa kwanza au Spain. Lkn EPL anatakiwa abadirishe mfumo wa uchezaji wake.
Tulia kijana. Umemaliza kushangilia goli la Ajibu?Zubutuu icho kitu hakipo kwenye mkataba wa kuama kutoka Genk kwenda timu nyingine
Inakuwaje hiyo yani Genk wamuuze, halafu simba wapate mgao sio tp mazembe?Pia simba tukumbuke Rage hakukurupuka, samata akienda huko na Simba inapata gawio lake safiiiiiii.
Kuna clause zinakuwa ktk mikataba ya wachezaji, parent timu ya awali hufaidika na uuzwaji wa mchezaji. Sio Simba tu. Mazembe wana shea yao, kwa simba yaweza kuwa ndogo ila si haba.Inakuwaje hiyo yani Genk wamuuze, halafu simba wapate mgao sio tp mazembe?
Kwa kuweka kumbukumbu sawa, Everton ni timu ambayo iliwaamini na kuwapa nafasi makinda kibao, na mpaka sasa wanatesa au walitesa vilivyo;kwa ligi y uingereza n umri wake ataend kupotea kul mapem.. makocha wengi EPL hawajui ku improve wachzaje hasa wa vilabu vy kaliba y everton ,wengi wanatka mchezaji aliekamilika zaidi so kw mbwana ni bora akaanzia germany ama spain nd badae aend uingereza.
Hahaha.. Nadhani bado ana hangover.Tulia kijana. Umemaliza kushangilia goli la Ajibu?
Richalison sio natural striker. Ni winger wa kushoto. Winger ya kulia walcott, namba 10 sigurdsso. Game ya juzi alianza kama false 9 sababu ya poor form ya cenk tosun na forwards wa everton kwa ujumla. Natural strikers wa everton sahivi ni tosun, oumar niasse na dominic calvert lewin. Wote wa kawaida sanaEverton sio type yake, ataharibikia bench. Richardlison ni straiker namba moja. Kama ana choice ya kuchagua aende Barnley.
Hapa sio mkwanja bali namba. Maana piga ua mshahara wake akienda timu yoyote hapo itapanda kwa dau kubwa tu. Kama hana akili atachukua ushauri wako.[/QUOTE
Perfomance yake ndo itadertamine uhakika wa namba, popote tu ni kupambana, umaskini wa fikra ndo tatizo lako kubwa
Nahodha wa Taifa Stars anasakwa kwa udi na uvumba na timu mbali mbali za ligi kuu ya England.
Source BBC Dira ya Dunia