msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Hawakushinda maana wangeshinda wangekuwa zao ligi ya mabingwa mudaAsante kwa ushauri wako, walirudishiwa wakakatwa tena but waliappeal so sikujua kama walishinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakushinda maana wangeshinda wangekuwa zao ligi ya mabingwa mudaAsante kwa ushauri wako, walirudishiwa wakakatwa tena but waliappeal so sikujua kama walishinda
Na atabaki tuEverton bado anaweza kubaki pl akipambana ...
Luton ni wavivu ? Liverpool kidogo afe Manchester mwenyewe aliponea chupuchupuEverton hawashuki na mashabiki zao wanashauri viongozi wasikate rufaa maana wakishindwa points za kukatwa zinakuwa 15 na siyo 10 tena, hao majamaa hawashuki ni wazuri kuliko hao wa mwisho kina Sheffield, Luton au burnley
Utofauti wao Everton na Ile ya Man City ni nini!?? Mbona City hakufanyiwa hivi!??Ata Mimi ningeshtuka... point 14 wana punguza 10... una bakia na 4
Ma bosi wa Everton mna haki ya kushtuka
Walirudishiwa ndiyomaana hawakuwa na gape lolote tena la points nyingi kabla na baada ya kukatwa na kurudishiwa points zao 15 na kubakia top 4 kimsimamo kwenye Serie A.Asante kwa ushauri wako, walirudishiwa wakakatwa tena but waliappeal so sikujua kama walishinda
Somb hii link upate ushahidi na uende na wakatiHawakushinda maana wangeshinda wangekuwa zao ligi ya mabingwa muda