mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
- Thread starter
- #21
Mmmmmmhhhhhh ya
kweli haya?
Aite waandishi WA habari
"Kwa mujibu wa chanzo changu cha karibu. Habari hizi ni za kweli 100%.... Huyu ni Sitti mwenyewe kaposti. Yes amelivua taji... Process haikutakiwa Kuwa Hivi. Kamati ya Miss TAnzania ilimwambia awaandie barua ya kukubali kuvua taji yeye kwa hasira akaenda kuposti facebook hiyo message..... Anyways, hata kama hajaomba msamaha ........... adhabu keshaipata na ataendelea kuipata kwa miaka mingi ijayo... Hii aibu atatembea nayo muda mrefu sana so ................. ili mradi taji limerudi naamini mshindi waE Pili atavishwa taji hilo some time next week ."
--- Toka kwa mdau instagram