Koborer
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,020
- 272
Kenya wishes to be in sadc?
This must have been a Sunday joke by Geza. Seriously!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya wishes to be in sadc?
Mkuu mimi nilijua tangu mwanzo kwamba kuhibuka kwa RENANO ghafla kuna kitu behind, sikuona ajabu walipo pata passport ya Kenya aliyo kuwa anatumia Kiongozi wa RENAMO - hii ni gand plan ya akina triple K wanajua fika kwamba majeshi yetu hayawezi kukaa kimya kama Msumbiji itavurugwa kijeshi, wala siwezi kuona ajabu kama awawezi kumshauri Rais wa Malawi naye anzishe vurumai fulani achokoze Tanzania na wao wamshauri kwamba watamsaidia ku-beef up jeshi lake kimya kimya, hawa jamaa ni hatari kweli kweli katika kanda yetu hii ya Africa Mashariki, wanacho tafuta ni kujaribu kuvurugaTaifa letu kwa njia yoyote hile. Mawazo yao wanafikiri majeshi ya Tanzania yatakuwa na front nyingi za ku-deal nazo kijeshi kiasi kwamba tutashidwa kulinda Taifa letu kikamilifu hivyo kuwapa mwanya wa kupenyeza waharifu nchini, hawapendi msimamo wa Tanzania hata kidogo kutokana na kuwashtukiwa na mipango yao ya siri ya kutaka kupora aridhi yetu kwa hila za the so-called federation, wengine wana tamaa za ziada za kutaka wawe Rais wa kwanza wa Africa Mashariki ili watimize grandplan zao za kuwatawala wengine. Jamaa hawa wasipo pewa kibano na nchi za SADCC na International Community watakuja kuzua vita mbaya sana katika kanda yetu hii, muda wa ku-deal nao na kuwambia ukweli is now not later.Aise hawa majirani hawa.Kama ni kweli hatuna budi kujitoa for good EAC, rwanda ug na m23, kenya tena kumbe kishamsupport renamo, jwtz wakadeal nao wakakimbia, majuzi tena hapa hao renamo walilianzisha msumbiji, nahisi uhuru kapokea mikoba ya moi.Danger.
Mkuu kama UK anaweza kuwa na ubavu wa kusema bila aibu eti hana muda wa kwenda kujibu mashtaka the Hague kutokana na kushughulikia suala la Magaidi walio uwa Wakenya na Wageni ambao idadi yao hazidi 67!! Hapa Kenyatta anajitia kuvaria njuga saula hilo la Westgate, kasahau Wakenya wenzake elfu moja na kitu walio kufa kwenye machafuko ya kisiasa na Wakenya wengine zaidi ya nusu millioni wakapoteza makazi yao mpaka leo! Najiuliza, hivi Rais huyo wa Kenya anahangahika na wahanga wa Westgate na kusahau wa Rift Valley kutokana na kupoteza jamaa wake wa damu au kwa kuwa kuna wazungu walio poteza maisha yao!! Viongozi wa aina hiyo unaweza kusema wana chembe ya morals zozote kweli? Kitu kingine Serikali yao ya awamu ya kwanza na pili hazikuwahi kujishughulisha/kuchangia chochote katika harakati za ukombozi za Wafrika wenzetu kusini mwa Afrika, actually wao walikuwa wana-support wanzungu na wapinga ukombozi ili waendelee kuwatawala na kuwatesa Wafrica wenzao, cha ajabu walipo pata habari kwamba nchi hizo zimekwisha jikomboa, Wakenya bila ya aibu ndio walikuwa wa kwanza kutaka kwenda kuwekeza katika nchi hizo, wako makini sana kutaka kuvuna wasicho panda!! Leo hii nikiona wanawakumbatia Wachina naona ajabu sana, siku za nyuma walikuwa wanawabeza beza Wachina eti wanaishi behind Iron Curtains - siku hizi uwezi kusakia wanalizungumza hilo, wako kimya kabisa - sikumbuki vizuri kama Kenya ilishiriki kuipigia kura China ijiunge na Umoja wa Mataifa si ajabu wali-abstain. Nimalizie kwa kusema labda kama wenzetu wamebadirika siku za karibuni kwa kuanza kujali mambo mengi ya kibinadamu- binafsi dalili hizo sizioni, ninacho kiona mimi ni wao ku-emulate imani za Kimerikani 2 the letter, wao kama ilivyo Merikani hawana rafiki wa kudumu badala yake wana MASLAHI ya KUDUMU.Absolutely. Ndio maana huwa nahoji sana 'moral authority' ya Kenya kuongelea mambo ya ushirikiano. Historia inaonyesha Kenya imekuwa against mambo mengi ya kibidnadamu.
..only if u knew what kind of an organization Renamo was.
..the regime in Kenya imemwaga damu ya Waafrika wengi sana.
..Tanzania lost more than 100 soldiers in an effort to stabilize Mozambique which was threatened by South Africa, Rhodesia, and their African collaborators in the name of Renamo and Kenya.
..connecting the dots, now we understand the origins of the Kenya's negative campaign against SADC and Southern Africa.
cc Geza Ulole, Mungi, Tuko
We trade more with SADC members than any EA memberHow low can one get in order to get even with Kenya. Most Kenyans don't even know that there is a bloc called SADC. Please remind me what has SADC ever done/ Achieved in all the years it has been in existence. Is there a success/Event associated with SADC?
..only if u knew what kind of an organization Renamo was.
..the regime in Kenya imemwaga damu ya Waafrika wengi sana.
..Tanzania lost more than 100 soldiers in an effort to stabilize Mozambique which was threatened by South Africa, Rhodesia, and their African collaborators in the name of Renamo and Kenya.
..connecting the dots, now we understand the origins of the Kenya's negative campaign against SADC and Southern Africa.
cc Geza Ulole, Mungi, Tuko
historically, kenya has played a crucial role in promoting Africa's peace process, given the fact it was not in SADC but managed to create the environment where negotiations can be done...the war was escalated when SADC frontline states decided to settle for arms to deal with the mozambican civil war and most of the 'liberation' struggle and material support for Renamo and Frelimo was coming from the was the eastern blocks out of africa. I do not know why they are out of this discussion. kenya's intervention led to the peace accord that settled the situation. Same to south sudan peace accord.
you cannot downplay the role of the peace beacon in EAC because eventually, kenya did not turn around to take advantage and blackmail the situation the way western peace brokers do.
..Kenya played the role of a sellout.
..APARTHEID South Africa and RHODESIANS are the ones who helped to establish RENAMO.
..where did u get the information that Renamo was getting support frm any country in the Eastern block??
..Again, go back and dig a little bit about RENAMO and u will realize that the regime in KENYA sided with EVIL during the struggle for the independence of Southern Africa.
[h=2]Zuma seeks stronger ties with Kenya[/h]
PRESIDENT Jacob Zuma has intensified his efforts to smooth relations with Kenya, strained since the apartheid era when the African National Congress (ANC) believed the East African state did not provide adequate support to the liberation movement.
After attending Kenyan President Uhuru Kenyatta's inauguration last month, Mr Zuma held talks with the Kenyan leader on the margins of the World Economic Forum in Cape Town last week, where discussions centred on bilateral issues - a diplomatic euphemism for ironing out issues of contention.
The talks came after Mr Zuma had made similar overtures to Nigeria, where South African business has headed for 20 years, but where sound political relations did not always follow. Nigerian President Goodluck Jonathan made his first official visit to South Africa last week, after Mr Zuma's visit to Abuja last month.
Former president Thabo Mbeki did not make a state visit to Kenya during his term, and Mr Zuma had not been to Kenya on a state or official visit since he took office in 2009. This had dismayed Kenya's political leaders as South African leaders skirted around Kenya while visiting Tanzania, Uganda, Rwanda or Ethiopia.
Kabaridi,
..soma hii article.
..the author is saying that Kenya did not provide adequate support to ANC during the dark days of Apartheid terror. that is a diplomatic way to infer that Kenya was backstabbing ANC during their struggle for independence.
source: Zuma seeks stronger ties with Kenya | African News | BDlive
cc Jammu Africa, Ab-Titchaz, Dhuks